Alichelewa kidogo kupata hedhi, amekuja kupata ina rangi isiyo ya kawaida

Alichelewa kidogo kupata hedhi, amekuja kupata ina rangi isiyo ya kawaida

southernboy

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
882
Reaction score
1,075
Wakuu habari.

Mwanamke wangu aliniambia kuwa mwezi huu hajaona siku zake tukasema tusubiri kidogo labda zimechelewa, lakini amekuja kuniambia ameingia period ila nikihesabu ni siku ya 43 au 44 hivi tokea aingie period ya mwisho, ananiambia na zinatoka sio za kawaida ni kama nyeusi zilizokuwa zimekaa mda mrefu. anahofu asije akawa na tatizo

Wanajukwaa JF Doctors nisaidieni hili ni tatizo? Au ni kawaida au kuna kitu sio cha kawaida?
 
"Improvisado" soma vizuri
Sio kweli.
Mwanaume kwa kawaida na kwa mila na desturi za kiafrika huwa haambiwi hayo na hata ikatokea (chance and chance only) akiambiwa huwa kimaadili hafuatilii (imezuiliwa)na huliweka hilo kuwa ni siri ya ndani
Inakuwaje huyu jamaa analileta hilo huku jukwaani kumwanika mke/mpenzi wake hapa? Kwani Madaktari/ zahanati (Official) wameshindwa? Usimtetee bali mpe ushauri.
 
Back
Top Bottom