The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
ANAANDIKA MCHAMBUZI,GEORGE AMBANGILE.
.
.
✍🏻Yanga wamecheza hii mechi utasema vile mechi ya mkondo wa kwanza alifungwa
1: Sharp wakiwa na mpira na bila mpira
2: Aggressive ( matumizi ya nguvu katika sehemu sahihi )
3: Kushinda mipambano yao ( win duels )
4: Recovery runs + Counter pressing : wakipoteza mpira , pale wanapotakiwa kuweka presha kwenye mpira wanafanya hivyo haraka na pale pressing yao ikishindikana wanarudi nyuma haraka sana
✍🏻Uwepo wa Yao na Boka ( na wachezaji wa pembeni kuwa namba 10 kiuhalisia ) inafanya Yanga wakiwa na mali :-
A: Nyuma wanakuwa watatu ( Job , Bacca na Mkude )
B: Pacome na Chama kwenye halfspaces zote ili kuwapisha Yao na Boka kuwa wingers juu ya uwanja
C: Hii inafanya Yanga kushambulia na takribani wachezaji 6 katika mstari wa mwisho wa ulinzi wa CBE na ndio maana pale walipokuwa wanapoteza mpira ilikuwa rahisi kwao kukabia juu huko huko.
✍🏻Nafikiri CBE walikuwa wanacheza kama vile wanajua hapo ndio walipofikia , cha kufanya ni kupambana na kupunguza idadi ya magoli , lakini haikuwa hivyo kwao :-
1: Physically walizidiwa sana
2: Wanapasiana lakini hawana runners wengi
NOTE
1: Siku zote msingi namba moja wa Yanga ni safu yao ya ulinzi ( halafu timu kiujumla bila mpira hakuna abiria uwanjani )
2: Yao na Boka : Mmoja technically yupo clean sana ( Yao ) na mwingine running power yake kubwa ( Boka )
3: Fuad yule jezi namba 10 wa CBE anajua boli
4: Chama yale ndio maeneo anayoyapenda ... anakwaza 😀🔥
5: Benchi la Yanga 🔥 : Magoli tatu toka benchi : Aziz KI volley 🔥
6: Mzize uwepo wa Dube na Baleke kauchukulia personal sana🔥
7: Mudathir .. anakula nini ? Always on the move 🔥
FT: Yanga 6-0 CBE ( 7-0 Agg )
.
.
✍🏻Yanga wamecheza hii mechi utasema vile mechi ya mkondo wa kwanza alifungwa
1: Sharp wakiwa na mpira na bila mpira
2: Aggressive ( matumizi ya nguvu katika sehemu sahihi )
3: Kushinda mipambano yao ( win duels )
4: Recovery runs + Counter pressing : wakipoteza mpira , pale wanapotakiwa kuweka presha kwenye mpira wanafanya hivyo haraka na pale pressing yao ikishindikana wanarudi nyuma haraka sana
✍🏻Uwepo wa Yao na Boka ( na wachezaji wa pembeni kuwa namba 10 kiuhalisia ) inafanya Yanga wakiwa na mali :-
A: Nyuma wanakuwa watatu ( Job , Bacca na Mkude )
B: Pacome na Chama kwenye halfspaces zote ili kuwapisha Yao na Boka kuwa wingers juu ya uwanja
C: Hii inafanya Yanga kushambulia na takribani wachezaji 6 katika mstari wa mwisho wa ulinzi wa CBE na ndio maana pale walipokuwa wanapoteza mpira ilikuwa rahisi kwao kukabia juu huko huko.
✍🏻Nafikiri CBE walikuwa wanacheza kama vile wanajua hapo ndio walipofikia , cha kufanya ni kupambana na kupunguza idadi ya magoli , lakini haikuwa hivyo kwao :-
1: Physically walizidiwa sana
2: Wanapasiana lakini hawana runners wengi
NOTE
1: Siku zote msingi namba moja wa Yanga ni safu yao ya ulinzi ( halafu timu kiujumla bila mpira hakuna abiria uwanjani )
2: Yao na Boka : Mmoja technically yupo clean sana ( Yao ) na mwingine running power yake kubwa ( Boka )
3: Fuad yule jezi namba 10 wa CBE anajua boli
4: Chama yale ndio maeneo anayoyapenda ... anakwaza 😀🔥
5: Benchi la Yanga 🔥 : Magoli tatu toka benchi : Aziz KI volley 🔥
6: Mzize uwepo wa Dube na Baleke kauchukulia personal sana🔥
7: Mudathir .. anakula nini ? Always on the move 🔥
FT: Yanga 6-0 CBE ( 7-0 Agg )