Alichofanya Mhariri ya Gazeti la Uhuru kina harufu ya uhaini

Alichofanya Mhariri ya Gazeti la Uhuru kina harufu ya uhaini

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Gazeti la Chama Tawala limefungiwa kwa kuandika taarifa ya isiyokuwa sahihi kuhusu Mkuu wa Nchi na Amirijeshi Mkuu wetu ambayo imesababisha taharuki za kisiasa, kikanuni na kikatiba kwa taifa. Haiwezekani gazeti la Chama tawala likosee taarifa kuhusu Mwenyekiti wa chama wao na Mkuu wa taifa kwa bahati mbaya tu.

Waswahili wanasema "kunguru hana kibyongo ukimuona ana kibyongo kainama kuokota kitu", kazi yako ni kujiuliza mapema kabla hajaruka kuwa kainama anaokota nini? Kifaranga? Panzi? Msoga? au nguo yako ya ndani?

Hawamtaki kiongozi au watataki aendelee? wameandika kwa makusudi au waliteleza? waliandika wenyewe au kuna mtu/watu wako nyuma yao na ni wangapi? Dhamira (motive) ya kuandika habari ile ilikuwa ni nini?

Ni heri kukosea kwenda kugagua tena mlango uliofungwa ujue kama umefungwa kuliko kukosea kuacha kukagua tena mlango ambao haikufungwa ukidhani kuwa umefungwa.

Hii ni hatari kubwa kuliko akina Mbowe. Adui wa ndani ni mbaya sana kuliko adui wa nje.

Ushauri wangu binafsi, vunja baraza la mawaziri ulisuke upya
 
Ilipoanzishwa sheria ya vyombo vya habari wengi walibeza kwa kusema inaminya uhuru wa habari lakini matokeo ya matumizi mabaya ya sheria hizo ni makubwa. Taarifa ya vyombo vya habari hususani gazeti ni rejeo.
 
Gazeti la chama tawala limefungiwa kwa kuandika taarifa ya isiyokuwa sahihi kuhusu Mkuu wa Nchi na Amirijeshi Mkuu wetu ambayo imesababisha taharuki za kisiasa, kikanuni na kikatiba kwa taifa. Haiwezekani gazeti la Chama tawala likosee taarifa kuhusu Mwenyekiti wa chama wao na Mkuu wa taifa kwa bahati mbaya tu...
Sijui ni kwanini hili linawapotezeeni.muda wenu na wala hamjalishtukia kuwa hapa kuna Mchezo fulani umechezwa na Mkakati wa Kipropaganda umeshafanikiwa kwa Waliouandaa.
 
Gazeti la Chama Tawala limefungiwa kwa kuandika taarifa ya isiyokuwa sahihi kuhusu Mkuu wa Nchi na Amirijeshi Mkuu wetu ambayo imesababisha taharuki za kisiasa, kikanuni na kikatiba kwa taifa. Haiwezekani gazeti la Chama tawala likosee taarifa kuhusu Mwenyekiti wa chama wao na Mkuu wa taifa kwa bahati mbaya tu...
Ngoja nitafute hiyo habari iliyoandikwa na hilo gazeti uchwara halafu nitarudi
 
Kazi ipo

Screenshot_20210811-162934.png
 
Gazeti la Chama Tawala limefungiwa kwa kuandika taarifa ya isiyokuwa sahihi kuhusu Mkuu wa Nchi na Amirijeshi Mkuu wetu ambayo imesababisha taharuki za kisiasa, kikanuni na kikatiba kwa taifa. Haiwezekani gazeti la Chama tawala likosee taarifa kuhusu Mwenyekiti wa chama wao na Mkuu wa taifa kwa bahati mbaya tu.

Waswahili wanasema "kunguru hana kibyongo ukimuona ana kibyongo kainama kuokota kitu", kazi yako ni kujiuliza mapema kabla hajaruka kuwa kainama anaokota nini? Kifaranga? Panzi? Msoga? au nguo yako ya ndani?

Hawamtaki kiongozi au watataki aendelee? wameandika kwa makusudi au waliteleza? waliandika wenyewe au kuna mtu/watu wako nyuma yao na ni wangapi? Dhamira (motive) ya kuandika habari ile ilikuwa ni nini?

Ni heri kukosea kwenda kugagua tena mlango uliofungwa ujue kama umefungwa kuliko kukosea kuacha kukagua tena mlango ambao haikufungwa ukidhani kuwa umefungwa.

Hii ni hatari kubwa kuliko akina Mbowe. Adui wa ndani ni mbaya sana kuliko adui wa nje.

Ushauri wangu binafsi, vunja baraza la mawaziri ulisuke upya
Katika maandiko yapo maelezo ya tawala zilizofikinika,na uovu waufanyao ukiwa ndio chanzo cha kufitinika kwao.
 
Gazeti la Chama Tawala limefungiwa kwa kuandika taarifa ya isiyokuwa sahihi kuhusu Mkuu wa Nchi na Amirijeshi Mkuu wetu ambayo imesababisha taharuki za kisiasa, kikanuni na kikatiba kwa taifa. Haiwezekani gazeti la Chama tawala likosee taarifa kuhusu Mwenyekiti wa chama wao na Mkuu wa taifa kwa bahati mbaya tu.

Waswahili wanasema "kunguru hana kibyongo ukimuona ana kibyongo kainama kuokota kitu", kazi yako ni kujiuliza mapema kabla hajaruka kuwa kainama anaokota nini? Kifaranga? Panzi? Msoga? au nguo yako ya ndani?

Hawamtaki kiongozi au watataki aendelee? wameandika kwa makusudi au waliteleza? waliandika wenyewe au kuna mtu/watu wako nyuma yao na ni wangapi? Dhamira (motive) ya kuandika habari ile ilikuwa ni nini?

Ni heri kukosea kwenda kugagua tena mlango uliofungwa ujue kama umefungwa kuliko kukosea kuacha kukagua tena mlango ambao haikufungwa ukidhani kuwa umefungwa.

Hii ni hatari kubwa kuliko akina Mbowe. Adui wa ndani ni mbaya sana kuliko adui wa nje.

Ushauri wangu binafsi, vunja baraza la mawaziri ulisuke upya
Du......!
 
YUPO MTU HUMO ATAKUWA AMETUMWA NA TIMU GANGSTER KUPIMA UPEPO WA RAIS WETU KIPENZI ILI WAJIPANGE MAPEMA 'thats how intelegent speaks'
 
CCM wanadhani kila mtu ni mjinga!

Ni kwa mtu asiye timamu kichwani ndio ataamini hapo eti hilo gazeti uchwara limefungiwa kumbe ni igizo lililochezwa na script toka Lumumba.

Swali la kujiuliza Kwanza TV ya Maria Sarungi ilifungiwa miezi 6 ila gazeti la CCM linafungiwa siku 14 na yale ya Musiba yakiendelea kupeta.
 
Back
Top Bottom