Alichofanyiwa RC Makala na watumishi leo uwanja wa Mkapa hatokuja kuisahau

Alichofanyiwa RC Makala na watumishi leo uwanja wa Mkapa hatokuja kuisahau

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Leo watumishi wa taasisi na ofisi mbalimbali zilizopo mkoa wa Dar es salaam tuliungana Uwanja wa Mkapa kusheherekea siku yetu kama ilivyo ada.

Sasa ile kaanza kuongea katibu wa TUCTA MKOA watu wakaanza kuondoka kwa nguvu.

Binafsi sikupenda ila baada ya kiongozi wetu nasi kutuambia tuondoke sikuwa na namna tuliondoka haraka.

Yaani mpaka Makala anahutubia nahisi alibaki na meza kuu tu licha ya kwamba Uwanja wote ulijaa majukwaa ya juu.

Kamati ya shughuli ijiandae vyema safari nyingine watumishi wanaweza kuishia getini tu na kuondoka.

Spika mnaweka za kitoto, hamtoa utaratibu unaoeleweka.
 
Haikuwa na bajeti au hawakuwa na taarifa kabla ili wajipange?
 
Sasa nini kimewaondoa au mlikuwa na ndoto nyingine
 
Habari!
Leo watumishi wa taasisi na ofisi mbalimbali zilizopo mkoa wa Dar es salaam tuliungana Uwanja wa Mkapa kusheherekea siku yetu kama ilivyo ada.
Sasa ile kaanza kuongea katibu wa TUCTA MKOA watu wakaanza kuondoka kwa nguvu.
Binafsi sikupenda ila baada ya kiongozi wetu nasi kutuambia tuondoke sikuwa na namna tuliondoka haraka.
Yaani mpaka Makala anahutubia nahisi alibaki na meza kuu tu licha ya kwamba Uwanja wote ulijaa majukwaa ya juu.
Kamati ya shughuli ijiandae vyema safari nyingine watumishi wanaweza kuishia getini tu na kuondoka.
Spika mnaweka za kitoto , hamtoa utaratibu unaoeleweka.
Spika za kipaimara
 
Posho za kuhudhuria ziligawiwa mapema na hilo ndio kosa

hata Harusi za uswazi ukigawa msosi mapema utabaki ukumbini wewe nd ndugu zako tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom