Alichokifanya Wenje Kwa Marafiki Wawili Mbowe na Tundu Lisu ni sawa na alichofanya Membe Kwa Boys II Men sema tu JK alikuwa Makini!

Alichokifanya Wenje Kwa Marafiki Wawili Mbowe na Tundu Lisu ni sawa na alichofanya Membe Kwa Boys II Men sema tu JK alikuwa Makini!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Michezo anaocheza Waziri Kivuli mstaafu wa Mambo ya Nje mh Wenje wa kuwagombanisha Mbowe na LISU ni Ule ule aliocheza Waziri wake kuwatenganisha JK na Eddo 2015 Ili yeye apate fursa ya kugombea

Na Kwa uchovu wa Chadema ya Sasa simuoni Shujaa kama Magufuli wa kukiokoa Chama, ninaowaona ni CHAWA Watupu akina Benson

Mlale unono 😂
 
Naamini kabisa kama uongozi uliopo ungekuwa bado wa mh Magufuli chadema wasingekuwa wanapita pito hiki.
 
Michezo anaocheza Waziri Kivuli mstaafu wa Mambo ya Nje mh Wenje wa kuwagombanisha Mbowe na LISU ni Ule ule aliocheza Waziri wake kuwatenganisha JK na Eddo 2015 Ili yeye apate fursa ya kugombea

Na Kwa uchovu wa Chadema ya Sasa simuoni Shujaa kama Magufuli wa kukiokoa Chama, ninaowaona ni CHAWA Watupu akina Benson

Mlale unono 😂
😆😆
 
Back
Top Bottom