ibra blogger
Member
- Jan 19, 2018
- 13
- 22
Inauma vipi sasa mbona anesema vizuri dada wa watu? Heading haina uhusiano na content.Wasanii wa Bongomovie walijumuika pamoja kushiriki kwenye mazishi ya mama mzazi wa Msanii mwenzao Johari. Mama Johari amezikwa January 18, 2018 na msiba ulikuwa nyumbani kwake Mburahati DSM.
https://thepeoplenewz.blogspot.com/2018/01/alichokisema-jokate-kwenye-mazishi-ya.html?m=1
HahahahahahaJokate alikuja na Shaka au peke yake??