Alichokisema Lady Jaydee kuhusu Ray C


We si hupendi umbeaaa lakinii unampakaga halaf akujibu na ashajibu sie mbona tumeelewaaa
 
Ulichokosea ni kuhamisha heading nzima toka kwenye blogs na magazeti ya kidaku na kuleta hapa! Read before pasting.
 
Kwa hiyo ataimba nini Joto hasira au Yahaya au anatunga nyimboo kabisaa

wanaimba na mwanamuzik kutok Kenya octopizo yaani ni nyimbo itakayotumika dunia nzima ni special kwa ajili ya kombe LA dunia, hapana chezea anaconda wewe
 
Hata kuwa spear tyre hana vigezo yule .
..ategemee kwa jide ndo aje ahonge

Hata kuitwa buzi hafaiiii akaee tu alelewe siku akifurumushwa na mabegi arudi kwa mama yakee akasugue masufuriaa
 
Mwenzangu unahongwa hela za mwanamke mwenzako, akatafute zake mwanaume suruali tu yule asipopewa na Jide hana kitu

Shangaaaa hajuii raha ya kuhongwa pesa inayotafutwaa na mwanaume wa shoka kwa jasho lake yeye mpaka ale ganji nyumbani lounge akuuy
 
wanaimba na mwanamuzik kutok Kenya octopizo yaani ni nyimbo itakayotumika dunia nzima ni special kwa ajili ya kombe LA dunia, hapana chezea anaconda wewe

Safi sanaaa hapo clouds watajambaje kwa hasiraa na Ruge atavuta sembe siku hiyooi manenaaaaaa zaooo
 

Duh sijakuelewa apa , ni dharau ama nini? Tuheshimiane kijana, usivuke mipaka aiseeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…