Ata ukimwi tunaishi nao kwa kutumia ARV sio kwa maombi ya kitaifaAlichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Vuta hisia kama tungekuwa tunapingu nyungu badokama baba yak alivyo mshenzi
We are his voice
Kwenye dozi milioni moja hiyo ni asilimia ngapi??Tupo Million 60 na waliochanjwa hadi sasa laki 2
Kuabudu binadamu mwenzio badala ya Mungu pia ni ugonjwa mkubwa...Jifunze kuona zuri kwa wengine hata kama hupendi ama hukubaliani nao. Kupingapinga ni ugonjwa ati.
Na ni chukizo mbele ya MunguKuabudu binadamu mwenzio badala ya Mungu pia ni ugonjwa mkubwa...
20%Kwenye dozi milioni moja hiyo ni asilimia ngapi??
Ndugu unabishana bure na nyumbu hawa nahisi wazazi wao walitumbuliwa ile awamu ndo maana wananyongo balaa lazima kila kitu wakione kibaya tu.hakusema hivyo kwa sababu aliamini korona haipo bali alisema siweki lockdown hatujui ugonjwa utaisha lini,hivyo basi tujifunze kuishi nao ili maisha mengine yaendelee,virusi vinatabia ya kujigeuza akatoa mfano pia kwamba mbona magonjwa mengine yapo na tunaishi nayo hatujajifungia ndani?
Sawa mkuu lakini jikinge kama wawezaImewatoa wengi tu
Na bado itaendelea kututoa hakuna namna
Mkuu jaribu kutumia akili zako na wala usimuige polepoleNdio maana nikawataja hao wanasiasa.
Nisimuige Polepole kwenye jambo lipi maana hujaweka wazi?Mkuu jaribu kutumia akili zako na wala usimuige polepole
COVID-19🦠😷kujikinga labda ubaki ndani na kukutana na watuSawa mkuu lakini jikinge kama waweza