#COVID19 Alichosema Hayati Magufuli kuhusu UVIKO-19 yametimia, sasa tutaishi nao katika jamii

Ata ukimwi tunaishi nao kwa kutumia ARV sio kwa maombi ya kitaifa
 
Ndugu unabishana bure na nyumbu hawa nahisi wazazi wao walitumbuliwa ile awamu ndo maana wananyongo balaa lazima kila kitu wakione kibaya tu.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…