JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Ronaldo Nazário (R9) has always spoken highly of Messi, calling him a ‘unique’ talent and one of the greatest ever. He admired Maradona’s magic and was deeply inspired by his legacy. When it comes to Cristiano Ronaldo, R9 respects his incredible work ethic and goal-scoring ability but has often said he sees more of himself in players like Mbappé. A true legend recognizing greatness across generations.
==============
“Watu wanakuwa wabinafsi, Cristiano Ronaldo amekuwa na historia nzuri, ni kati ya Wachezaji Bora, sikubaliani naye kuwa yeye ndio bora kwa muda wote lakini naheshimu maoni yake, kwangu bora ni Pelé, Messi na Maradona, wengine ni Zico, Romário, Cristiano Ronaldo, Van Basten, Zidane, Figo, Rivaldo, Ronaldinho…”
Ronaldo Nazário (R9)
Februari, 2025
===================
“Naamini kila Mtu anaweza kusema anachokitaka, kama anadhani yeye ni bora wa muda wote… ni sawa, kwangu mimi Mchezaji Bora wa Muda wote ni Ronaldo Nazario de Lima.”
Karim Benzema (37)
Februari 2025
Hizi ni kauli zilizitolewa na Mshambuliaji wa Al-Ittihad, Karim Benzema (37) pamoja na mstaafu Ronaldo de Lima kwa wakati tofauti kuhusu kauli ya Cristiano Ronaldo (40) anayeichezea Al-Nassr aliyoitoa mwezi uliopita (Februari 2025) akijielezea kuwa yeye ndiye Mchezaji Bora wa Muda Wote kutokana na mafanikio aliyoyapata kwenye mchezo wa soka
==============
“Watu wanakuwa wabinafsi, Cristiano Ronaldo amekuwa na historia nzuri, ni kati ya Wachezaji Bora, sikubaliani naye kuwa yeye ndio bora kwa muda wote lakini naheshimu maoni yake, kwangu bora ni Pelé, Messi na Maradona, wengine ni Zico, Romário, Cristiano Ronaldo, Van Basten, Zidane, Figo, Rivaldo, Ronaldinho…”
Ronaldo Nazário (R9)
Februari, 2025
===================
“Naamini kila Mtu anaweza kusema anachokitaka, kama anadhani yeye ni bora wa muda wote… ni sawa, kwangu mimi Mchezaji Bora wa Muda wote ni Ronaldo Nazario de Lima.”
Karim Benzema (37)
Februari 2025
Hizi ni kauli zilizitolewa na Mshambuliaji wa Al-Ittihad, Karim Benzema (37) pamoja na mstaafu Ronaldo de Lima kwa wakati tofauti kuhusu kauli ya Cristiano Ronaldo (40) anayeichezea Al-Nassr aliyoitoa mwezi uliopita (Februari 2025) akijielezea kuwa yeye ndiye Mchezaji Bora wa Muda Wote kutokana na mafanikio aliyoyapata kwenye mchezo wa soka