Bwai
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 721
- 488
Ni imani kuwa kila moja wetu humu JF ni mzima wa afya.
Nina jambo moja ninaomba kuwashirikisha, jambo lenyewe ni hili; Mke wangu ana ujauzito wa kama miezi minne na ni mimba yake ya kwanza. Mwenzangu huyu amekosa hamu kabisa ya kufanya tendo la ndoa, hata kumgusa tu ili kumwandaa hataki.
Nimehangaika kumbembeleza aniambie kama kuna tatizo akaniambia hajisikii tu kufanya hilo tendo.
Kuna siku hapa nikambembeleza akawa kama amenionea huruma akanipa ila hata dakika tatu sijafika juu yake akaniambia humalizi tuu?
Nilifedheheka sana ila sikuwa na jinsi, nikamalizia hilo bao nikashuka. Kuendelea kumdadisi akaniambia anahisi maumivu ukeni.
Je, ndugu zangu hili ni jambo la kawaida kwamba ni kipindi tu kitapita? Na je kuna chochote cha kufanya kumrudisha kwenye hali yake ya awali?
Natanguliza shukrani zangu kwenu wadau.
Nina jambo moja ninaomba kuwashirikisha, jambo lenyewe ni hili; Mke wangu ana ujauzito wa kama miezi minne na ni mimba yake ya kwanza. Mwenzangu huyu amekosa hamu kabisa ya kufanya tendo la ndoa, hata kumgusa tu ili kumwandaa hataki.
Nimehangaika kumbembeleza aniambie kama kuna tatizo akaniambia hajisikii tu kufanya hilo tendo.
Kuna siku hapa nikambembeleza akawa kama amenionea huruma akanipa ila hata dakika tatu sijafika juu yake akaniambia humalizi tuu?
Nilifedheheka sana ila sikuwa na jinsi, nikamalizia hilo bao nikashuka. Kuendelea kumdadisi akaniambia anahisi maumivu ukeni.
Je, ndugu zangu hili ni jambo la kawaida kwamba ni kipindi tu kitapita? Na je kuna chochote cha kufanya kumrudisha kwenye hali yake ya awali?
Natanguliza shukrani zangu kwenu wadau.