Alidanganywa na Mwanaume wake kuwa ni Askari sasa limemkuta Jambo. Tumuombee

Nasikia raha sana ninapoona binti kadanyanywa na wahuni namna hii.
Tamaa mbaya 🀣🀣🀣
Tunapowaambia muwe na macho ya rohoni hamtaki nyie mnataka nywele za bandia, kucha za bandia, kope za bandia na kutafuta iphone
 
Tulia unyooshwe dada.

Ndo mnavyotaka mwanaume akija amenyooka mnamkataa, akija muongo muongo ndo mnamuelewa

Umeshaingia kwenye 18 za muhuni tulia akukande
 
Hivi tuwanaume twa hivyo uwa mnatuokota wapi ?
Sasa dada na wewe utasema umeolewa kweli ? Embu omba talaka uje nikuoe sipendi kabisa manyanyaso ya hivyo imeniuma sana ,nakuomba PM Mara moja 🀦
 
yakapita tukasuluwisha mwezi huu nimekuja dar kufata mzigo kwa pesa yangu tangu nije huku ajawah kunitumia hela ya matumiz ad nimtukane yaan nimechoka haya maisha
Vipi bado upo Dar,tuonane basi ili tuyajenge na karibu pm Kwa maelezo zaidi.
 
Nilionyeshwa kwenye jonzi Tazama mke wangu wa pili atatoka katika mazingira haya haya uliyoyaeleza.
Mama zama pm chap kabla jonzi yangu haijabadirika
 
Njoo kwangu.
 
Ungeomba ushauri Siku ile aliyokuja kutoa mahali
 
Ebu sema vizuri wewe unasali kwa mwamposa, kiboko ya wachawi, zumaridi au nabii TIto?
 
uli ignore red flags nyingi mno , yaan unakuta godoro la shule geto tena chini ila unakaza fuvu na kulegeza kiuno
 
Nyumbani kwenu wamekuchoka wamekukabidhi kwa mwanaume bure bila kuchukua hata senti 1 ya mahari inaonekana ulikua mcharuko sana
 
Mkiambiwa ukweli mnakaza fuvu,Mimi mwenyewe kwenye mitongozo ni afisa kutok TRA
 
Hapo hesabu umepigwa 3-0..
Huyo mwamba mwambie kuna kibarua huku cha kudeal na watu km nyie.
Experience mdomo tu
 
Tulia unyooshwe dada.

Ndo mnavyotaka mwanaume akija amenyooka mnamkataa, akija muongo muongo ndo mnamuelewa

Umeshaingia kwenye 18 za muhuni tulia akukande
πŸ˜…πŸ˜…
 
Uyo ni mimi kabisa nlipelekwa ukweni wakati wakuondoka

Mimi : Nashukuru san mzee wangu baba mkwe
Baba Mkwe : Usijali kijana wangu

Mimi : sasa baba hauna elfu tatu nikapandie bajaj?
 
Sasa mtu ambaye hana hata shuka la kujifunika ,chumba hakina "singbodi" ,analala chini ,alipata ujasiri wa wapi wa kufikiria kuoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…