Wana jf embu nisaidieni nna mabishano hp hm eti naskia damu ina rangi ya kijani? na ikitoka mf umeumia kuna hatua inapitia hd inatoka ikiwa nyekundu? Embu nisaidieni jmn
sio mpaka daktari aje kukutatulia trivial things kama hizi!. chukua tochi au simu ya tochi mulika katikati ya vidole ukiwa umevibananisha angalia rangi unayoiona ndo utajua maharage ni mboga au kiungo cha kande.
kamata ulimi wako kwa mkono wa kushoto,halafu chukua wembe uukate.kisha tema mate chini ukiangalie kipande ulichokitema kinatoa rangi gani,kama huijui mpelekee mama yako;[Nyambafu]