Sina uhakika sana na uwezo wako wa kufikiri, kwa lipi alilofanya huyo mainzi wako pale tifua tifua mpk umpigie debe, km mnapiga wote basi ni mda wenu wa kukaa pembeni mtuachie mpira wetu, shiit mainziMKUU TFF SIOO STATION YA TV AMA REDIO ILE. NI TAASISI YA KUENDELEZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU NA JAMAL AMETUFIKISHA PAZURI ANAITAJI KUMALIZIA KUIWEKA HII NCHI PANAPOSTAHILI. .
VOTE4JAMALMALINZI
[HASHTAG]#tmjmsecondterm[/HASHTAG]
hahahaaaaa kama ulitarajia posn mwanzoni kakutosa sahauu time for malinzi againSina uhakika sana na uwezo wako wa kufikiri, kwa lipi alilofanya huyo mainzi wako pale tifua tifua mpk umpigie debe, km mnapiga wote basi ni mda wenu wa kukaa pembeni mtuachie mpira wetu, shiit mainzi
Mkuu kwani umehidiwa niniMKUU TFF SIOO STATION YA TV AMA REDIO ILE. NI TAASISI YA KUENDELEZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU NA JAMAL AMETUFIKISHA PAZURI ANAITAJI KUMALIZIA KUIWEKA HII NCHI PANAPOSTAHILI. .
VOTE4JAMALMALINZI
[HASHTAG]#tmjmsecondterm[/HASHTAG]
Hasa point za mezaniMalinzi kafanya nini la maana tokea ameingia?
Nilikua na imani naye wakati anaingia but ameni disappoint sana
Ww endelea kumpigia debe, kwa hayo malipo kiduchu aliyokulipa, but now ni wa mainzi kukaa pembeni atuachie mpira wetuhahahaaaaa kama ulitarajia posn mwanzoni kakutosa sahauu time for malinzi again
Soma muda na nyakatii hapo juuu uje tenabaada ya uchaguzi tushare kilichotokea nawapi watuwako walichemka tukashindaaa..*tmjmalinzi4secondtermWw endelea kumpigia debe, kwa hayo malipo kiduchu aliyokulipa, but now ni wa mainzi kukaa pembeni atuachie mpira wetu
Njaa itakuua wewePengine nisingependa kumlalamikia mayai kwa kugombea uenyekiti
Kiukweli kabisaaa aliemshauri ali mayai kugombea aje kuaibikia tff Mungu anamwona
Labda amkujua ana familia yake nayo akijitangaza hivi wako nyuma yake wakitarajia makubwa. Napenda nikuhakikishie RAISI MTARAJIWA TFF N YULE YULE
JAMAL MALINZI
Hakuna mkate utakaoshindana na chai hata iwe ya Rangi..kaka mayai hakuliona hiili..sifa kubwa ukifikia kugombea hata yule aliieshinda huwa anaangalia fadhila wapi pa kukuhifadhi tff ama uoshe oshe vyombo ama kukaribisha wageni pale tff
Naamini kabisa Ali mayai na mnaotarajia kwake anamfwata soon Nyamlani kUjitoa((angalia na mda )mtaniambia
MH Malinzi naamini kabisa hatokuwa na chuki tutakuingiza kwenye vijikamati kama 72h,,nk
Kila la kheri JAMAL MALINZI
VOTE4JAMALMALINZI
[HASHTAG]#TMJMSECONDTERM[/HASHTAG]
Malinzi anaongoza yanga au tff?
Yapi hayo kupata uwenyekiti wa mkoa pale Kagera. kuhamishia ofisi mjini. nini hasa cha maanaumekosa posn nini mkuu
Ama ulitarajia.nn zaidi ya maendeleoo alioonyesha na anayoendelea kuyaonyesha
Sasa nimejua kumbe Malinzi anamhofia za Mayai kuliko mgombea yoyote yule kati ya wote.
Ali Mayai kazi uzi ukiona wanakuongelea jua wamekuelewa..!
Yapi hayo kupata uwenyekiti wa mkoa pale Kagera. kuhamishia ofisi mjini. nini hasa cha maana
Umetumwa kumpigia debe huyo Mainzi wako.Mwambie tunamtaka ATM yeye tumechoka tàasisi inakuwa na ukabila khaahMKUU TFF SIOO STATION YA TV AMA REDIO ILE. NI TAASISI YA KUENDELEZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU NA JAMAL AMETUFIKISHA PAZURI ANAITAJI KUMALIZIA KUIWEKA HII NCHI PANAPOSTAHILI. .
VOTE4JAMALMALINZI
[HASHTAG]#tmjmsecondterm[/HASHTAG]
Bonyeza link kumpigia kura mgombea unayetaka ashinde urais wa TFF<br />Nani anafaa kuwa Rais wa TFF? - Poll on StrawPoll.comJamal Emily Malinzi For Second Term.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app