Aliepoteza pochi hii anitafute

Kajolijo

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,364
Reaction score
4,612
Mtu aliepoteza pochi hii tafadhali ntafute, sitaki usherekee sikukuu hii vibaya,nami nimeona si vema niingie mwaka mpya na dhambi
 
Dah mungu akubariki ,sana niliidondosha wakati naendesha pikipiki,Sasa chukua elfu kumi hapo,nyingine nitakupa maelekezo
 
naona ni jukwaa la jokes!!
 
Umechelewa mkuu...nilisikia bwana mmoja wa kipemba akitangaza toka juzi lirudishwe kabla hajafanya yake..keshafanya tayari
[emoji23][emoji23]
 
Kanyaboya. Zimefungwa elfu 2 mbili na kuzungushiwa elfu 10.Kwa hiyo sio nyingi sana kama unavyotakiwa udhanie.
 
Uwiiiiiiii! Hii si ni ya Marehemu Kanumba jamani?
 
Kaidondosha mwaka juzi. Siku hizi debit/credit card zimejaa kwanini utembee matako yametuna kwa wallet?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…