HahahahahaDah mungu akubariki ,sana niliidondosha wakati naendesha pikipiki,Sasa chukua elfu kumi hapo,nyingine nitakupa maelekezo
[emoji6] [emoji6]Mtu aliepoteza pochi hii tafadhali ntafute, sitaki usherekee sikukuu hii vibaya,nami nimeona si vema niingie mwaka mpya na dhambi