Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana sana tu ila inategemea una GPA ya ngapi??Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda,maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor ??
Mostly wanachukuliwaa kwa ufaulu atleast 3.5 GPA. Pia Uhitaji wa Chuo kwa maana Educational subject and Teaching SubjectWakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda,maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor ??
Inawezekana kabisa. Kuna mwaka waliajiri Bsc na BA education vyuoni bila kubagua.Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda,maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor ??