Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda, maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor?
Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda,maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor ??
Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda,maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor ??
Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda,maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor ??
Inawezekana kabisa. Kuna mwaka waliajiri Bsc na BA education vyuoni bila kubagua.
Ingawa tangu mwaka 2014 hawajaajiri wakufunzi wapya vyuoni.
Na utaratibu mpya uliopo kwa sasa ni kuwapromote walimu wenye sifa kutoka secondary kulingana na mahitaji ya wizara