Aliingia na "shangingi" Toyota Landcruiser akarudi na Bodaboda "toyo"! nyumbani!

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Meya wa manispaa ya Moshi Juma Raibu aliingia ofisi na Toyota Landcruiser ila baada ya wajumbe 18 kumkataaa huku 10 wakitaka aendelee na kazi idadi kubwa ikashinda kutokana na tuhuma kadhaa zinazomkabili ilibidi akubali kuvuliwa wadhifa wake na kurudi nyumbani na "toyo" a.k.a bodaboda huku akiliiacha "shangingi" Toyota Landcruiser!!
 
Wapinzani wama roho mbaya Sana,hao madiwani 18 watakuwa ni wa Chadema
 
Ndiyo hivyo bwana mkubwa,cheo ni dhamana,ukiboronga lazima ukimbizwe.
 
Hahahaha.. boda zingekuwa mbali sijui ingekuwaje, kazunga anaongea na simu ili akimbie
 
Nenda play store halafu download app ya web brouser.

Ikiisha kukaa sawa, link ya Jf itafutie huko ndiyo inasoma na kuonesha mapicha picha na clip za video.
 
Mjinga sana yeye lile gari angelipaki mapema, angekuja zake na boda na kurudi na boda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…