Alijiandaa kuniumiza moyo.

Alijiandaa kuniumiza moyo.

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Nilimpenda sana akanizalia watoto tumeishi miaka kumi sikutegemea kama atakuja kuniacha ila alishawaambia baadhi ya watu kuwa ataondoka. Nasasa ameondoka kweli hakika wanawake ni wabaya sana. Wanaume tupende kiasi tena kwa machale.
 
Nilimpenda sana akanizalia watoto tumeishi miaka kumi sikutegemea kama atakuja kuniacha ila alishawaambia baadhi ya watu kuwa ataondoka. Nasasa ameondoka kweli hakika wanawake ni wabaya sana. Wanaume tupende kiasi tena kwa machale.
Mkuu Kama unahela bas Kuna uwezekano hata hao watoto sio wako,
 
Ubaya wao ni nini

Mwanamke haondoki kirahisi rahisi akiwa na watoto

Utakuwa umechangia kuondoka kwake

Jitafakari.
boss hao wanawake unaowasemea walishazikwa miaka 20 nyuma huko, waliopo saiz ni titi fo tati..
 
Nilimpenda sana akanizalia watoto tumeishi miaka kumi sikutegemea kama atakuja kuniacha ila alishawaambia baadhi ya watu kuwa ataondoka. Nasasa ameondoka kweli hakika wanawake ni wabaya sana. Wanaume tupende kiasi tena kwa machale.
Pole ndugu, chukua bia kwa mangi kupooza koo na stress
 
Hivi inakuaje watu mnapenda hivyo? Mimi tangu utotoni nishuhudie baba yangu akipigwa kichwani na chuma kizito na MAMA yangu mzazi sijawahi kupenda na kumuamini mwanamke.
 
Nilimpenda sana akanizalia watoto tumeishi miaka kumi sikutegemea kama atakuja kuniacha ila alishawaambia baadhi ya watu kuwa ataondoka. Nasasa ameondoka kweli hakika wanawake ni wabaya sana. Wanaume tupende kiasi tena kwa machale.
Acha wenge, je hamna ulichokuwa unamkosea?sio unakuja kulia lia kimama hapa kumbe wewe ndiye ulikuwa unazingua miaka kumi yote
 
Nilimpenda sana akanizalia watoto tumeishi miaka kumi sikutegemea kama atakuja kuniacha ila alishawaambia baadhi ya watu kuwa ataondoka. Nasasa ameondoka kweli hakika wanawake ni wabaya sana. Wanaume tupende kiasi tena kwa machale.
Na watoto siyo wako hao pole, sana
 
Aiseee!!!? Tulia focus kwenye kulea watoto wako ipo siku atagundua kafanya kosa atajutia mwenyewe
 
Acha wenge, je hamna ulichokuwa unamkosea?sio unakuja kulia lia kimama hapa kumbe wewe ndiye ulikuwa unazingua miaka kumi yote
Sema hata wewe mke anawatoto aondoke hivi hivi? Kuna ile mtu anamchukulia poa mke wake hajali hisia zake wala nini! Kuna wengine anajaza mavyakula ndani utazani alitoka kwao kuja kula ili hali alifuatwa yeye ngoja aende anakodhaminiwa
 
Hivi inakuaje watu mnapenda hivyo? Mimi tangu utotoni nishuhudie baba yangu akipigwa kichwani na chuma kizito na MAMA yangu mzazi sijawahi kupenda na kumuamini mwanamke.
Ulitafuta kujua chanzo cha Baba yako kupigwa na chuma kizito? Pole sana
 
Sema hata wewe mke anawatoto aondoke hivi hivi? Kuna ile mtu anamchukulia poa mke wake hajali hisia zake wala nini! Kuna wengine anajaza mavyakula ndani utazani alitoka kwao kuja kula ili hali alifuatwa yeye ngoja aende anakodhaminiwa
Huo ni ukweli kaka, miaka kumi aondoke tuu na watoto, hapa kuna shida ingekua ile miaka 2 - 3 ya ku format ma disk baada ya kuoana ningeelewa hamna uvumilivu, ila ten years mwanamke anabeba watoto wake anaondoka...???
 
Kaondoka mwenyewe au karubuniwa na mwanaume? Kama kachukuliwa na mwanaume mwingine basi ujue una mapungufu ya msingi katika Maisha!!
 
Huo ni ukweli kaka, miaka kumi aondoke tuu na watoto, hapa kuna shida ingekua ile miaka 2 - 3 ya ku format ma disk baada ya kuoana ningeelewa hamna uvumilivu, ila ten years mwanamke anabeba watoto wake anaondoka...???
Anajitetea tu mke aulizwe hapa anaweza funguka mpaka watu wabaki kinywa wazi , haingii akilini labda kama karogwa aonde tu mke na watoto, ndiyo yale mke anajitunza mwenyewe na watoto mpaka anachoka ila inakuwa siri ya nyumba, mwanamtuwe akisema kachoka basi hanaga reverse
 
Back
Top Bottom