Itakuwa vidaba hawa na alikuwa anamtafuta mwenzake,Mumeo au mpenzi wako mkuu
Naomba kujua hizo sababu zisizo za msingi mpaka yeye kuchukua hatua hiyo.Alijifanya kidume,anajua kupigana .
Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi.nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu.nikaenda kumchukulia RB.polisi wamemkamata wamemlaza lock up.sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Wanajifunika shuka moja huku wakiwa wanakusema mkuu. Mapenzi Ni mchezo wa hovyo sanaHaya mambo ya wapendanao hua sitii neno sana. Unashupaza shingo kuongea kesho unawakuta watu pamoja na wanajifunika shuka Moja.
Ila huyo mwenzetu kapitiliza, hizi Karne watu hawapigani mateke, makofi na ngumi. Mkishindwana mnaagana kiroho safi Kila mtu anaendelea na mambo yake.
Sasa ndio uilete hii habari kwenye jukwaa la Ajira na Tenda?Alijifanya kidume,anajua kupigana .
Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi.nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu.nikaenda kumchukulia RB.polisi wamemkamata wamemlaza lock up.sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Nadhani kachanganyikiwa, teke la mbavu si masiharaSasa ndio uilete hii habari kwenye jukwaa la Ajira na Tenda?
Hapo kuna watu washajipatia ajira babu, mgambo na wa huko CentralSasa ndio uilete hii habari kwenye jukwaa la Ajira na Tenda?
Huyo ni bwege, ingia huku uone, hakuna rangi utaacha ona mpaka unyooke na Police hawatakusaidia, hakuna mwanaume anapiga mwanamke hivi hivi tu bila sababuAlijifanya kidume,anajua kupigana .
Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi.nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu.nikaenda kumchukulia RB.polisi wamemkamata wamemlaza lock up.sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Ndani ni kubaya kweli. Nilijiona mimi ni baunsa ila nikaingia nikakutana na mtu mfupi zaidi yangu na ana mwili zaidi yangu. Hata hivyo mambo mengi ya rumande yanakuzwa washkaji walikuwa peace.Nimewahi kukaa ndani nikiwa Chuo baada ya kumtukana abiria kwenye daladala kumbe alikuwa polisi mpelelezi wale wasiovaa sare.
Jamaa aliniweka Kawe Polisi kama kunikomoa kwa siku tano. Nilioyaona kule ndani ya hizo siku tano naweza kusema hivi kama mpenzi wako muwe mmegombana hata kufikia kupigana na hali yoyote ile akifikia kukupeleka ndani nakushauri uachane nae...