Kwahiyo ndio sababu wimbo kuwa m'baya, si ndio ???Ukiona kitu haukijui basi unauliza kwanza kwa jirani yako hapo ulipo,Joho Tena ni wimbo wa kampeni kwa ajili mshikaji wake wa Mombasa anaitwa Joho ni kama marehemu Capt Komba alivyotuimbia CCM nambari 1 vileeee
Kwahiyo ndio sababu wimbo kuwa m'baya, si ndio ???
Wewe si "mwanachama" kwa vile umeulizwa,ila nisingekuuliza wewe ni "mwanachama hai"Just gimme a break nicca,mimi sio mwanachama wa huo utoto wenu.
Nimemaliza.
Mshkaj una tabia za kishoga kumchukia mwanaume mwenzio haipendeziKwisha habari yake,sio kwa upuuzi huu aliotuwekea.
Imebidi nicheke tu yaan wimbo wa kampen uje ulinganishe na nyimbo za mapenz kwel aiseee naon panadol hazijawasaidia bado nenda kapate ushaur wa daktar naona bado mna maumivu tena yamezid zaidAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Yule mkali wa bongo, mkali wa sauti king kiba, kaachia ngoma ambayo haitamwacha mtu salama ngoma inakwendwa kwa jina joho tena
Hii ngoma ni noma mazee naona simba mwaka huu watAkula nyasi kudadadek
LONDON BABY
best song everAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Yule mkali wa bongo, mkali wa sauti king kiba, kaachia ngoma ambayo haitamwacha mtu salama ngoma inakwendwa kwa jina joho tena
Hii ngoma ni noma mazee naona simba mwaka huu watAkula nyasi kudadadek
LONDON BABY
Akapimwe mkojoImebidi nicheke tu yaan wimbo wa kampen uje ulinganishe na nyimbo za mapenz kwel aiseee naon panadol hazijawasaidia bado nenda kapate ushaur wa daktar naona bado mna maumivu tena yamezid zaid