Alikiba aendele kuitesa Africa, baada ya kuwa Nominated tena kwenye BINGWA awards

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Alikiba ndiyo msanii aliyepata nomination nyingi (4) kuliko wasani wote wa East Africa, huku hasimu wake Diamond akiambulia nomination 2 kwenye tuzo hizi.

Note: Hii ni kavu kavu bila collabo.

Hongera Alikiba,http://nyumbanitv.com/
 

Attachments

  • IMG-20150902-WA0014.jpg
    33.6 KB · Views: 757
mbona wasanii kibao waliwahi kuchaguliwa katika tuzo za kimataifa bila kolabo,mwaka 2010 diamond alichaguliwa kwenye tuzo za mtv base na nyimbo yake ya mbagala,ulkuwa kwenu igunga nini mwaka huo?

Mkuu hivi umeelewa content ya thread kwel?
 
Tuzo za nchi gani izi Somalia, au Sudan
 
mbona wasanii kibao waliwahi kuchaguliwa katika tuzo za kimataifa bila kolabo,mwaka 2010 diamond alichaguliwa kwenye tuzo za mtv base na nyimbo yake ya mbagala,ulkuwa kwenu igunga nini mwaka huo?

Haaaaha igunga
 
Naona umerejea tapishi ulolitapika juzi tu. Watoto bana!

Ila safi umeonesha kukua, wenzako wanaona aibu tia pua zao, kwa ujinga wao tu, kulazimisha wakiwazacho.
 
Alikiba ndiyo msanii aliyepata nomination nyingi (4) kuliko wasani wote wa East Africa, huku hasimu wake Diamond akiambulia nomination 2 kwenye tuzo hizi.

Note: Hii ni kavu kavu bila collabo.

Hongera Alikiba,NyumbaniTV

acha uongo ww diamond ana nomination 3
 
Ukipata link weka hapa ni vote
 

Attachments

  • 1441263972892.jpg
    23.5 KB · Views: 236
mbona wasanii kibao waliwahi kuchaguliwa katika tuzo za kimataifa bila kolabo,mwaka 2010 diamond alichaguliwa kwenye tuzo za mtv base na nyimbo yake ya mbagala,ulkuwa kwenu igunga nini mwaka huo?

Alikuwa kwao igunga. 😂😂😂😂😂😂😂😂 Sio kwao nangurukuru.
 
Alikiba ndiyo msanii aliyepata nomination nyingi (4) kuliko wasani wote wa East Africa, huku hasimu wake Diamond akiambulia nomination 2 kwenye tuzo hizi.

Note: Hii ni kavu kavu bila collabo.

Hongera Alikiba,NyumbaniTV
Huyu mlinzi wa tembo hana hadhi ya kuwa hasimu wa DIAMOND kwa lolote.
 
tuzo za kimaskini sana hizo

nikiangalia list nzima ya nomination za video of the year ni kichefuchefu tu, huwezi kuiacha NANA, NITAMPATA WAPI, NOBODY BUT ME, NUSU NUSU kati ya zote zilizopo hapo hakuna zilizofikia ubora hizi...
 
Tanzania yangu ni muhimu kuliko Muziki wa Alikiba....na suala lake la kumpigia debe Magufuli kwa maana ya kwamba CCM iendelee kutawala mimi siyo Team Kiba tena ntamchukulia kama msanii wa kawaida tu na sitotoa jasho langu na nguvu zangu kumpigia Kura popote pale kama ambavyo sifanyi hivyo kwa Dimond...nimemuingiza katika kundi la wasanii wasiojielewa rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…