Nadhani ni natatizo la management, au kama management ipo tu kama picha lakini wakimshauri hashauriki.Kwenda kuongea na waandishi wa habari na kusaini mkataba kavaa kama anaelekea msikitini. Kila sk tunasema kuna shida kwenye kuji brand kwa upande wa king kiba.
Sema hata hajapost....Kweli hapendi show off
Unateseka ukiwa stoo ya wapi ewe Mmatumbi mwenzangu????Kuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.
Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.
Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Endeleeni kumdanganya mwenzenu,unamuacha meneja ambaye kwa sasa ni amechaguliwa kuwa Director kwa upande wa East Africa na Sony Music.Unateseka ukiwa stoo ya wapi ewe Mmatumbi mwenzangu????
Mkuu umeongea kweli tupu, lakinii inawezekana labda kiba anaoba ameshafikia malengo aliyojiwekea. Fursa ya yeye kua wa kimataifa zaidi anayo ila ni yeye tu hajitumi kwenye branding, mi nadhani jamaa karidhika na pale alipofika.Kuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.
Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.
Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Maumivu yakizidi muone daktari.Endeleeni kumdanganya mwenzenu,unamuacha meneja ambaye kwa sasa ni amechaguliwa kuwa Director kwa upande wa East Africa na Sony Music.
Endeleeni kumtia ujinga kwani siku zote muda haumsubirii mtu na mziki hauna mwenyewe.
View attachment 1856167
Ndio alivyomaliza alienda msikitiniKwenda kuongea na waandishi wa habari na kusaini mkataba kavaa kama anaelekea msikitini. Kila sk tunasema kuna shida kwenye kuji brand kwa upande wa king kiba.
Kuhusu nandy pesa nyingi anayoingizaKuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.
Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.
Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Dunian??Yaani Ali kiba kwenye Energy drink hana mpinzani duniani
Ndio, pia anashikilia record kubwa ya kuwa Brand Ambassador wa Energy drink mbalimbali dunianiDunian??
Kuwa na heshima na King Kiba usifananishe na hao matejaKuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.
Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.
Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Akinunua hiyo gari kesho yake lazima apige mzinga hela hata ya kuilisha familia yake,akaunti itakuwa imekongoroka balaa,๐๐๐Anunue na yeye rozi rozi.
ULINUNUA NA MITAMBO YA UZALISHAJI HAHAHAHAIliishia kwangu yote [emoji23]