Barcelona763
Member
- Mar 9, 2018
- 26
- 21
Hajar upo ?Lazima afurahi. Na hata kama amechukia hawezi onyesha hadharani, inabidi agugumie maumivu rohoni.
Sababu J ndio ameshakuwa tena.
Nipo mzima weye?Hajar upo ?
Non Sense.Jokate ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.
Amefurahi na kumpa hongera kuteuliwa was jokate mkuu wa wilaya ya Kisarawe akiongea na Millard Ayo tv
Muigizaji wa movie ya i think gods is crazy alicheza kwa jina la xixoAli Kiba ndio nani?