Alikiba ana mziki mzuri lakini interview zake husikilizi mara mbili

Wazo zuri pia , maana mi hata meneja wake simjui
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hizi team bhana
 
Tuseme ukweli tu....Kiba si mwanamuziki na hajawahi kuwa na muziki mzuri japo anabebwa sana ili akubalike ila wapi. Bongofleva hakuna vipaji ila waganga njaa tu.

Mkuu hata Mimi sijawahi kuvutiwa na huyo kiba hata siku moja kidoogo labda macmuga basi, nyimbo zingine naona hata belle 9 ana kipaji na sauti nzuri kuliko huyo kiba
 
ukiona mtu kila akikosea lazima anatupa lawama kwa watu, basi ujue kuna shida kwenye ubongo wake. Thinking capacity itakuwa ina kaufa sehem.
 
Mkuu hata Mimi sijawahi kuvutiwa na huyo kiba hata siku moja kidoogo labda macmuga basi, nyimbo zingine naona hata belle 9 ana kipaji na sauti nzuri kuliko huyo kiba
me too, toka enzi hizo za nakshi nakshi huyu kaka hajawahi kunigusa hataaaa
 
Yale mayowe yaliyo nakshiwa na beat ndio mnaita mziki mzuri!?!?
 
Kwel kabsa,kiba asingekuwa domo sku nying sana tungeshamsahau,tena clouds ndo waliomrudsha ili amfunke diamond baada ya kuona diamond hataki kushkwa masikio kama wasanii wengne
 
Tuseme ukweli tu....Kiba si mwanamuziki na hajawahi kuwa na muziki mzuri japo anabebwa sana ili akubalike ila wapi. Bongofleva hakuna vipaji ila waganga njaa tu.

hapana Kiba ni boooooooonge na mwanamuziki,fact is ni mwanamuziki kuzidi Naseeb
IIIIIIIIIILA HAJUI BIASHARA YA MUZIKI!
anakomzidi Naseeb ni hapa tu
-anaijua biashara ya muziki
-anajua wajibu wa mfanyabiashara wa muziki
-anajua mwonekano wa mfanyabiashara ya muziki
-anajua lugha ya mfanyabiashara wa muziki
-anajua mtazamo wa mfanyabiashara wa muziki
-anajua lifestyle ya mfanyabiashara ya muziki
VITU AMBAVYO KIBA VYOTE HANA

na bahati mbaya sana wakati yeye alizaliwa na uanamuziki,mwenzie alizaliwa na ujuzi wa biashara ya muziki
 


Sasa umechemsha....hawa wote si wanamuziki ni wafanya biashara sema Naseeb anajuwa namna ya kuuza maandazi yake ila wote si wanamuziki ni wasanii tu.
 
Mkuu hata Mimi sijawahi kuvutiwa na huyo kiba hata siku moja kidoogo labda macmuga basi, nyimbo zingine naona hata belle 9 ana kipaji na sauti nzuri kuliko huyo kiba


Yaani bongo watu wanapenda sana kulazimisha vitu....usikute huko mtaani kwenu washikaji wako radhi kukuua ili tu umpe kick Kiba. Mwanamuziki anajulikana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…