Ali kibaAha ila king Kiba haztak pesa ase
Kuna muda ataita show wanaenda watu Mia a nashindwa kupiga saiv wakat bado yupo kwenye pick
umeshalitaja mkuujina la diamond lisipotajwa kwenye huu uzi sijui. ngoja tuone
NADHANI UNAMAANISHA KUTAJWA MARA YA PILIjina la diamond lisipotajwa kwenye huu uzi sijui. ngoja tuone
Utawasikia wanasema kiba analipwa pesa nyingi basi tu hapendi kujionesha
ALI KIBA HANA TAMAA ZA DUNIA NA HAPENDI SHOWOFF ZA KULIPWA MIHELA MINGI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shule zimeanza kufungwa nadhani ni likizo ya Pasaka.
Show zenyewe za manati. Hela ndogo badoMillioni itapendeza Mrs Van
hivi mtu mvivu mnamuanzishia topic kila kukicha humu?Ali kiba
-hana akili
-hana juhudi
-hana uwezo
-Ali kiba hata abwebwe vipi bado habebeki
-Ali kiba ni mvivu
ALLY KIBA NI MILIONI 60 KWA SHOW...
pia Alikiba ni Gubu na ana gunduhivi mtu mvivu mnamuanzishia topic kila kukicha humu?