Alikiba anaongoza kwa video za low quality!

Alikiba anaongoza kwa video za low quality!

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Mie ni mfuatiliaji wa bongo videos muda mrefu. Nimetazama video za Kiba tangu Sindelela mpaka Seduce me!

The man knows how to sing na ana sauti nzuri ya kuvutia ila kwa upande wa muonekano na mpangilio wa video yuko too shallow! Video inaongelea ugali yeye anaweka maringi ya bajaji, yaani hakuna uhusiano kabisa. Upande wa rangi napo ndo kabisa...poor colouring. Mfano hii Seduce me, hata kama ni mchana ukiingalia utafikiri uko shimoni japo ni kastyle kapya ka songi!

Aje pia mdundo uko bomba ila video too poor! Yale ma vampire aliyoweka cjui ndo alikuwa anayaita yaje?

Si vibaya kuchanganya ideas lakini ni vizuri zikaendana na theme ya wimbo!!

Let him learn from others! Kiba c wakuendeshwa kwa kiki, anajua kuimba ila ajirekebishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuanzia video yake ya chekecha, aje original na remix pamoja na hii ya juzi seduce me naona ziko poa.
Kwanza ziko tofauti maana video za wabongo utakuta lazima kuna kitanda cheupe na mashuka meupe magari ya kifahari. Ghorofa na kuimba mbele ya majumba mazuri pamoja na mabustani ya mahotel kiasi kwamba video za wabongo 90% zinafanana hazina utofauti.
Aje remix ilikuwa video simple kuna watu wawili hakuna gari wala nini lakini personally niliipenda ubunifu.
Hata seduce me nzuri yani ni video za kipekee ila kwa wanaodhani video nzuri lazima iwe kama ya raj na wolper hawawezi elewa.
Laiti ile video ya drake ya hotline angekuwa kaitoa alikiba au diamond wabongo wangeiponda balaa
 
mzungu asiejua kiswahili skisngslis video ya aje au chekecha au mwana.hatoelewa kabisa nini kinaimbwa hata kwa picha.
lskini akiangalia video ya ntampata wapi,mdogomdogo,je utanipenda,ataelewa wimbo unahusu nini..

alikiba unajitahidi but huna ubunifu..
 
2adda510e99cbde241ebcd1fa0b31f47.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzungu asiejua kiswahili skisngslis video ya aje au chekecha au mwana.hatoelewa kabisa nini kinaimbwa hata kwa picha.
lskini akiangalia video ya ntampata wapi,mdogomdogo,je utanipenda,ataelewa wimbo unahusu nini..

alikiba unajitahidi but huna ubunifu..
Hata yeye kiba anafanya ivo ili wazungu wasijue kama ww unataka wimbo amabo wazungu watakuelewa toa wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuanzia video yake ya chekecha, aje original na remix pamoja na hii ya juzi seduce me naona ziko poa.
Kwanza ziko tofauti maana video za wabongo utakuta lazima kuna kitanda cheupe na mashuka meupe magari ya kifahari. Ghorofa na kuimba mbele ya majumba mazuri pamoja na mabustani ya mahotel kiasi kwamba video za wabongo 90% zinafanana hazina utofauti.
Aje remix ilikuwa video simple kuna watu wawili hakuna gari wala nini lakini personally niliipenda ubunifu.
Hata seduce me nzuri yani ni video za kipekee ila kwa wanaodhani video nzuri lazima iwe kama ya raj na wolper hawawezi elewa.
Laiti ile video ya drake ya hotline angekuwa kaitoa alikiba au diamond wabongo wangeiponda balaa
Mbona video nyingi sana za wazungu wameshoot kama alikiba? Acheni kutukana vya kwenu bwana
Bora ww umewambia ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiwango chake bado sana licha ya mapromo ya clouds
Aendelee kumtumikia kafiri vinginevyo Safari yake inaishia chalinze
Huyu mwingine nae aache mashindano ya kipuuzi na mtu aisiendana nae
Ajitambue tu na heshima yake itabakia ndani na nje ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiwango chake bado sana licha ya mapromo ya clouds
Aendelee kumtumikia kafiri vinginevyo Safari yake inaishia chalinze
Huyu mwingine nae aache mashindano ya kipuuzi na mtu aisiendana nae
Ajitambue tu na heshima yake itabakia ndani na nje ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mashindano mnayatengeneza nyie washabiki bali nyie mngekaa kimya msingeona kama mtu anashindana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuanzia video yake ya chekecha, aje original na remix pamoja na hii ya juzi seduce me naona ziko poa.
Kwanza ziko tofauti maana video za wabongo utakuta lazima kuna kitanda cheupe na mashuka meupe magari ya kifahari. Ghorofa na kuimba mbele ya majumba mazuri pamoja na mabustani ya mahotel kiasi kwamba video za wabongo 90% zinafanana hazina utofauti.
Aje remix ilikuwa video simple kuna watu wawili hakuna gari wala nini lakini personally niliipenda ubunifu.
Hata seduce me nzuri yani ni video za kipekee ila kwa wanaodhani video nzuri lazima iwe kama ya raj na wolper hawawezi elewa.
Laiti ile video ya drake ya hotline angekuwa kaitoa alikiba au diamond wabongo wangeiponda balaa
Safi mkuu umemaliza! Watu wamezoea nguo nyeupe na nyekundu,ndinga kali, magorofa bila kusahau seeming pool
 
Back
Top Bottom