BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
ahem, mambo?!Hiyo ni kazi ya management yake acha kutokwa povu hapa.Sisi tubaki kama mashabiki tu na kumsapoti katika kila atakachokifanya.
una muandiko mzuriahem?....mmmhPoa.
we mtoa mada achana na miakili ya viroba kama umetumwa sema. hivi ndomo nae ni mwanamziki? non sense idioty. achana na cheketua chekecha inatisha kitu MWANA. K.4.REAL anatisha dogo
una muandiko mzuri
hahahahahahahaaaImagine Kiba angeimba Taarab!!!!!
Imagine Kiba angeimba Taarab!!!!!
una jina Zuri, kama lingewekwa kwene Can ya Coke ningeitunza tu bila kuinywaOh,ahsante.
hahahaahaa sijui umewaza nini mkuu
acheni majungu KIBA ANATISHAAAAAAAA
Nmewaza MELTDOWN ya JF kama Kiba Angeamua kuimba Taarab kama msanii wetu mkubwa Diamond!!!
Manake kiba katoa Chekecha, tukawaambia Music umekuwa biashara siku hiz, LAKINI bado ndugu Kiba akapondwa saaaaana, but sahiv "msanii mkubwa" kaamua kutuletea "Mipasho" naona mnayarudia yale mliyokuwa mnayaponda katika mantiki nzima ya Ngoma ya Kiba!!!
Sema siku zote MAISHA HAYAENDI BILA UNAFIKI!!!!
una jina Zuri, kama lingewekwa kwene Can ya Coke ningeitunza tu bila kuinywa