DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
huyu bila shaka ni msanii mpyaLayvanny
Hana haja ya show nasikia kudanga kunamlipa zaidiAnayebebwa ni Ommy we msanii gani gani tokea mwaka jana, ameshindwa kupata show ya peke yake, anakazi ya kudandia show za Kiba.
Alikiba , Harmonize , Mbosso , Layvanny , Lavalava ...nyote akikishen mnamuombea diamond maisha maana diamond akifa nanyie game yenu kwisha.
Maana amna vipaji halisi ...mnabebwa na upepo wa mond....huku mwenzenu akibebwa na upepo wa domo na CMg
Kwelivaisee....ila sijawabi msikiahuyu bila shaka ni msanii mpya
Hahahaha.. Kwani Dubai kwenye michanga ya dhahabu hua anakwenda kufanya nini?Anayebebwa ni Ommy we msanii gani gani tokea mwaka jana, ameshindwa kupata show ya peke yake, anakazi ya kudandia show za Kiba.
Duh esma akikukamata utakurarua vibaya maana dai ndo kamshikia ndoa so dai akisepa esma talaka nne(moja nyongeza) hizo
Wamwombee asife au asishuke kimuziki!?kushuka kimuziki atashuka tuu ndo muziki ulivyo,hata uwe unatoa nyimbo Kali vipi kuna muda watu wanachoka tu wanakuwa wanataka vitu na watu wapya!!