Alikiba hujaitendea haki beet ya Man water hongera Man water kwa beet ya nguvu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nyanyi wapendwa wa mungu

Lengo si kulinganisha ip ngoma kali kati ya zilipendwa na seduce me mana hakuna asiyejua seduce me ni kali zaid ya zilipendwa.

Ngoma ni nzur lakin si nzur kama beet lilivyo zur

Hongera sana Man water lakin alikiba hiyo beet hujaitendea haki

Kama ungekaa na kutuliza kichwa vizur haki ya nan naamin hii ngoma ungekaa kali zaid ya hapa ilipo

Alikiba umebolonga sana kwenye hilo beet

Cc mbitiyaza my baby

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]2M wiewers!!!!halooooiwwwwwq!!!
Fight with ur weather.....!!!!!!
 
Ww Nanyupu huchoki tuu kulalama? Kiba sio.mwenzako anaingiza mchongo mrf ww kalia kulia lia tuu. By the way mziki ni kuanzia beat. So kama beat ni nzuri I hope kidogokidogo utaikubali tuu
 
sio mbaya imeshaanza kupenya taratibu beat na mistari itakuingia soon

Akifa shekhe kazi ya Mungu
Akifa mlevi sababu ya Pombe
 
Wananiita Mr Misifaaaaa Nina Mandinga Mapyaaaaa Kweli Pasua Kichwa Hatari Tena Bila Collabo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…