Alikiba, justin bieber, bruno mars ndani ya jukwaa moja

Vipi Bruno mars na justine beibar walisemaje kuhusu amAlikiba performance yake?


Msingi wa taarifa ni huu hapa...

Habari zenu wapenda burudani,

Ni dhahiri kua kwa sasa mziki wa bongofleva ndio kitu pekee kinacholitangaza zaidi taifa letu katika tasnia ya burudani.



March 18 mwaka huu ambapo kutafanyika tamasha kubwa kabisa duniani na kwa nchi ya marekani pia lijulikanalo kama SOUTH BY SOUTHWEST music festival msanii pekee ambae ataiwakilisha Afrika atakua ni Alikiba kutoka Tanzania.



Pia ijulikane kua ni moja ya matamasha ambayo viingilio vyake huanzia ($ 250) hadi ($5000) kwa VIP.

Tusupport wasanii wetu, Ahsanteni
 
Ndo nauliza sasa mrejesho wa tamasha ilikuwaje? Mtanzania mwenzetu alipokelewaje?
 
Ndo nauliza sasa mrejesho wa tamasha ilikuwaje? Mtanzania mwenzetu alipokelewaje?
Wasiliana na menejimenti ama fuatilia vyanzo vingine vya habari kwani sijafuatilia hilo kutokana na kubanwa na majukumu ukiweza wasiliana hata na mtoa mada...
 
Duu
Hii taarifa ilikuwa ina u harmorapa ( ya kutafuta kiki ) ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…