"Dinald trump" ndio nani huyo?Msanii wa Kimataifa Alikiba aliye label moja ya Sony na wasanii wenzake Chris briwn, John legend, Beyonce, Davido etc, Leo hii amendelea kuchukua headlines kama Dinald trump wa marekani, baada ya kuweka tena headlines kwenye vyombo vikubwa vya Africa, hasa baada ya kituo kikubwa cha #SoundcityAfrica kuamua kuidedicate siku ya leo tarehe 21/5/2016 kama #ALIKIBA DAY" kama sehemu ya heshima kwa mziki wa msanii huyo pamoja na kuapreciate fursa aliyoipata ya kupata shavu la kuwa signed chini label kubwa ya sony.
Kama dunia nzima watapiga kura fresh.Umfananisha kiba na huyo mwendawazim trump ambaye dunia nzima hawataki awe rais haupo serious.
Kwa sasa unapozungumzia Diamond unazungumzia taasisi! Unamzungumzia Diamond kiurahisi kama unamzungumzia Mr. Blue???'Kwa nini?? Mond aingie kwenye muvi tu sasa na akafanye ambacho wana bongo movie wameshimdwa fanya toka kanumba, akafanye mapinduzi au aendelee kuwika kupitia kina raymond na harmonize, usichanganye kufulia na kuchuja kimuziki, mond hatafuliwa kifedha!! Ni kachokwa, kabakisha kwenda global tu ila huko hatotoboa sana!! Sasa hizi ale pesa za endorsements!!
Wakati diamond ana make headline sound city ulisema iyo.channel gan n local hadi yamoto band na shilole nyimbo zao zinapigwa vipi leo imekuwa channel ya kimataifa [emoji12]Msanii wa Kimataifa Alikiba aliye label moja ya Sony na wasanii wenzake Chris briwn, John legend, Beyonce, Davido etc, Leo hii amendelea kuchukua headlines kama Dinald trump wa marekani, baada ya kuweka tena headlines kwenye vyombo vikubwa vya Africa, hasa baada ya kituo kikubwa cha #SoundcityAfrica kuamua kuidedicate siku ya leo tarehe 21/5/2016 kama #ALIKIBA DAY" kama sehemu ya heshima kwa mziki wa msanii huyo pamoja na kuapreciate fursa aliyoipata ya kupata shavu la kuwa signed chini label kubwa ya sony.
huo wimbo ata mimi binafc naukubali sn ktk alizowahi kushirikishwa...Kiba mara nyingi anaposhirikishwa huwa anafanya poa sna kuliko kwenye ngoma zake mwenyewe,sasa cjui kwa kuwa huwa anaimbaga sehemu ndogo tu hivyo huweza kuitawala vyema au vipi!Mm napenda ALLYKIBA arudie ile sauti yake aliofanyia kollabo na dogo mmoja hivi, wimbo: Uaminifu (BONGE LA NYAU); Sharobaro Entertainment, G-PROJECT.
Huwa naurudia rudia karibu mara 50 niusikilizapo.
Ukilala mchana akikisha umekula na kushiba kuepuka kuota ndoto za popo bawa.!Bila kupepesa macho, binafsi naanza kuona the rise of alikiba na the fall of diamond kimuziki!!
Hater hater hater, nakuona mwisho wako ukikojozwaUkilala mchana akikisha umekula na kushiba kuepuka kuota ndoto za popo bawa.!
Unaonekana unapenda sana hako kamchezo ka kukojozwa!! Wenzio washakuzoesha vibaya mtoto wa watu washakuharibuHater hater hater, nakuona mwisho wako ukikojozwa
Upo sahihi, ni the rise of Alikiba, ila si lazima iwe the fall of DiamondBila kupepesa macho, binafsi naanza kuona the rise of alikiba na the fall of diamond kimuziki!!
Donald TrumpMsanii wa Kimataifa Alikiba aliye label moja ya Sony na wasanii wenzake Chris briwn, John legend, Beyonce, Davido etc, Leo hii amendelea kuchukua headlines kama Dinald trump wa marekani, baada ya kuweka tena headlines kwenye vyombo vikubwa vya Africa, hasa baada ya kituo kikubwa cha #SoundcityAfrica kuamua kuidedicate siku ya leo tarehe 21/5/2016 kama #ALIKIBA DAY" kama sehemu ya heshima kwa mziki wa msanii huyo pamoja na kuapreciate fursa aliyoipata ya kupata shavu la kuwa signed chini label kubwa ya sony.