Tetesi: Alikiba kamtelekeza mtoto.

Tetesi: Alikiba kamtelekeza mtoto.

Midekoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
45,757
Reaction score
246,786
Kuna tetesi zinazoenea kwa kasi King Kiba kamtelekeza mtoto wake kama tetesi hizi zinaukweli ndani yake hii ni aibu Kubwa kwa msanii mkubwa Africa na Tanzania kwa ujumla.

IMG_20180318_101040_646.jpg
 
Apo ukute alikula Mzigo Mara moja tu na alitumia condom,anasingiziwa,wanawake hawa,dawa akikuambia ana mimba na huna hakika sio yako ,nikumsaidia tu kumchagulia mtoto jina
 
IG ni kijiwe cha mazwazwa ukitaka kuwazoa mazwazwa tia mbwembwe kama hizo hapo utakuta mazwazwa yanapena taarifa na jamaa atavuna followers ambao wataenda kusubiri huyo mwehu amwage mboga kabla hamjashtuka atazusha Diamond kampa mimba dada ake ili aendelee kutamba.
 
Back
Top Bottom