Alikiba kuanza ziara ya muziki Afrika kusini mwezi February!!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Amepost kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii kuhusu ziara hii, hakika kazi nzuri zinadumu na zinalipa...hii yote ni matokeo ya wimbo wa Aje uliotoka mwezi May mwaka jana!!
Kila la heri King kiba!!

 
Nenda kapige kazi Kingkiba sisi wengine tunakomaa na kilimo japo mvua hakuna
 
Go good kingkibakuli.....naamini huu mchongo kasaidiwa na diamond.
Hongera diamond
 
Dili bado halijakamilika,unakimbilia kuweka posti,ndio unawapoza mashabiki au nini,au unadhani MOND huwa anakurupuka tu ........ usiniulize nimejuaje,angalia hakuna tarehe wala sehemu itakapofanyika,na mwezi wa pili si mbali,wakati watu shoo ya mwakani lakini tarehe na sehemu tayari wanazijua.
 
Salaam anajiandaa kwenda kuzima mic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…