Dili bado halijakamilika,unakimbilia kuweka posti,ndio unawapoza mashabiki au nini,au unadhani MOND huwa anakurupuka tu ........ usiniulize nimejuaje,angalia hakuna tarehe wala sehemu itakapofanyika,na mwezi wa pili si mbali,wakati watu shoo ya mwakani lakini tarehe na sehemu tayari wanazijua.