IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Huyu bwana kila akipata wasaa wa kuhojiwa ...utasikia visingizio vingiiiiiio
Sasa hivi anadai kuna msanii kampigia producer ampe material zake za mziki....
Adui wa maisha yako ni we mwenyewe....
Unatoa nyimbo kwa kutegemea huruma za mashabiki...we una kitu gani cha maana MTU akufuatilie ?
Sasa hivi anadai kuna msanii kampigia producer ampe material zake za mziki....
Adui wa maisha yako ni we mwenyewe....
Unatoa nyimbo kwa kutegemea huruma za mashabiki...we una kitu gani cha maana MTU akufuatilie ?