Alikiba na kundi lako ni heri muimbe Kaswida tu

Alikiba katafuta vijana wake sijui kawaokota wapi huko, vijana wanabana pua hatari kuimba kwenyewe hawajui, Ngoma zote walizotoa ni mbovu

Vijana wote wana sauti za kuimba Kaswida na sio Bongofleva, Alikiba ni heri uache tu mziki kama huuwezi.
WCB bana MNA matatizo.kiba amenza kuimba bosi wenu anapigisha call box zile,wengi wenu mlikuwa na mabirika ya kahawa mnatuuzia kahawa mjini Leo hii mnamwambia kiba hajui kuimba?
 
Alikiba katafuta vijana wake sijui kawaokota wapi huko, vijana wanabana pua hatari kuimba kwenyewe hawajui, Ngoma zote walizotoa ni mbovu

Vijana wote wana sauti za kuimba Kaswida na sio Bongofleva, Alikiba ni heri uache tu mziki kama huuwezi.
Kama humpendi kaa kimya
 
Alikiba katafuta vijana wake sijui kawaokota wapi huko, vijana wanabana pua hatari kuimba kwenyewe hawajui, Ngoma zote walizotoa ni mbovu

Vijana wote wana sauti za kuimba Kaswida na sio Bongofleva, Alikiba ni heri uache tu mziki kama huuwezi.
Mbona unateseka sana
 
Wivu wa kijingaaa...........afu kutumwa tumwa ni tabia za kijini
 
Vijana wamejiajiri hao waacheni wapige kazi kama ina manufaa kwao ,Hata waimbie machoni mi naona sawa.....Kama siwaelewi nawapotezea nasikiliza mziki mwingine
 
Uimbaji wao haujanishawishi ila sio lazima wannshawishi mimi kama kuna watu wanawaelewa inatosha. Huwezi ukaeleweka kwa kila mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…