Alikiba na Samatta wafungukia mechi yao

issenye

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
3,788
Reaction score
5,217
May 30, 2019 by Global Editor

Mbwana Samatta amefunguka kumpiga mabao mengi ali kiba katika mechi yao ya Team Samatta na Team Kiba itakayopigwa june 02, 2019. Kampeni ya Nifuate hivi sasa ni msimu wake wa pili ikiwa na lengo wa kusaidia watoto waliopo katika maisha magumu.
 
Na habari imeishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…