Alikiba na timing mbaya, kapoteza tena pambano

Nimekusoma nifa ila jinsia yako imenichosha yaani umeoa duh.post yakobimejaa ukweli lakini wabongo watapingana na kweli hiyo ili washinde.UKIBISHANA NA ASIYE JUA ATAKUSHINDA
 
Ili uelewe hilo inabidi ujiulize vita ya Iraq ni nani walikuwa wanapigana kule. Ujiulize pia kuhusu vita ya Afghanistan na usisahau chokochoko za uhasama wa kivita kati ya mataifa nani wanakuwa nyuma ya pazia
 
Kiba hawezi tena kumfikia Diamond,amewekewa magogo kwenye njia yake ya mafanikio
Kumfikiia Diamond,kwanza apambane na akina Raymond na Harmonize
 
yaan mm kwa mtazamo wangu haupo mbali na ww.kiba ilitakiwa ile baada ya kufanya kolabo na r kelly,ilitakiwa asonge mbele.lakn matokeo yake akaona amemalza kazi kufanya kolabo na akina r kelly akawa amekaa tu.mond amemuovateki.amebaki kukimbiza upepo.
Thanks mkuu kwa kuielewa post yangu
 
Aliyekwambia Alikiba hapigi pesa kakudanganya! Ana mkataba wa Sony na shoo anapiga kama kawa ila huwezi kujua kwa sababu Alikiba si mtu wa kujionyesha mambo yake!
Anapiga ela ndio lakibi hamuwezi domo,domo anapiga pesa zaidi ya kiba,so far mafanikio ya domo yanaonekana,mafanikio ya kiba hatuyaoni ingawa anapiga pesa mfano domo ana lebo yake wakati kiba yupo chini ya lebo ya wengine ukiachana na ile ya kulala na kuamka kwa mama wakati domo analala kwake,hayo ni machache ya haraka haraka kwa ufupi ali kiba hana tofaut na ray kigos,domo ni kanumba kwanza mbunifu hilo la ubunifu ndilo linalomps credit domo,nyie endeleeni kubana pua wakati mwenzenu anapiga pesa
 
Pumba tupu au unajifundisha kuanzisha thread sasa we huoni kuwa domo ndo ana mtiming kiba ilianza kutoka nisamehe(alikiba ft barakah ) ndo domo likakurupa ili aizime nisamehe na ile singeli halafu ule wimbo kiba sio wake ni wa yule mkenya
 
Usidanganywe na maisha ya instagram kijana ni fake
 
Pumba tupu au unajifundisha kuanzisha thread sasa we huoni kuwa domo ndo ana mtiming kiba ilianza kutoka nisamehe(alikiba ft barakah ) ndo domo likakurupa ili aizime nisamehe na ile singeli halafu ule wimbo kiba sio wake ni wa yule mkenya
Sawa mzoefu wa kuanzisha thread. Rudi hapo juu usome vizuri katikati ya mistari kuna kitu kitakusaidia
 
Kabla hujaandika uwe unaweka tofauti bayana! Huo siyo wimbo wa ali kiba! Ni wa brown mauzo!
 
Nikuhusu hiyo ya NITULIZE.
 
Ingekuwa inakimbiza ungesema ni nyota ya Kiba siyo???? Loosers got reasons
Jambo la kwanza hujui maana ya losers! Nenda kasome, Jambo la pili am not a loser, get it in your thick head.
 
Jambo la kwanza hujui maana ya losers! Nenda kasome, Jambo la pili am not a loser, get it in your thick head.
Yes big headed looooser with a lot of excuses ...... naiona temperature kwenye uso wako
 
Kiba nyoko anafanya watu waimbe ngoma za kihaya ila Poa ni dedication nzuri ya wahanga wa tetemeko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…