BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Mkuu kwani hapo alikiba alikuwa anawaangalia simba fekiAfanye mambo yake aachane na chibu amezoea kupata kiki kupitia chibu
Sisi ni wanaume wa dar, ndo maana tunafuatilia mambo ya instagramWanaume mnafuatilia mambo ya instagram ha ha ha mpimwe aisee