[emoji106]zingatia kula yako mkuu achana nao hayo ni maisha yao
We have no stress ati nini! Timua vumbikatika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512
Jiulize why kiba na si Marioo,Utakufa siku si zako dogo kwa kuchukia watu.We jamaa kwel akili huna unapoteza muda wako eti mfungulia Uzi alikiba so bora ukamfungulia Uzi Mario kuliko huyo msanii asie jitambua