Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Maneno ya Alikiba
"Hutawai niona nikipost pesa, magari makubwa ama vitu expensive namiliki, sio kwa sababu siwezi, ni kwa sababu nayajua haya maisha vyema, kuna watu wanateseka na wanatamani izo pesa na hayo maisha unayoposti.
Haina haja nipee mashabiki wangu pressure na hao ndio wamefanya mimi niwe tajiri ama nimiliki hivyo vitu. Kama sio mashabiki singekuwa hapa nilipo."
Kuna msanii humble kama huyu Tanzania kweli?
"Hutawai niona nikipost pesa, magari makubwa ama vitu expensive namiliki, sio kwa sababu siwezi, ni kwa sababu nayajua haya maisha vyema, kuna watu wanateseka na wanatamani izo pesa na hayo maisha unayoposti.
Haina haja nipee mashabiki wangu pressure na hao ndio wamefanya mimi niwe tajiri ama nimiliki hivyo vitu. Kama sio mashabiki singekuwa hapa nilipo."
Kuna msanii humble kama huyu Tanzania kweli?