Alikiba siyo romantic kabisa, ubabe mwingi.

kifimbocheza_

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
1,119
Reaction score
1,095
Kwa kweli huyu jamaa hayupo romantic kabisa, yaani kakaa kibabe babe tu. Ukitaka kuamini haya jaribu kuangalia video yake mpya ya wimbo wa kadogo, pale mwanzoni anapoongea na demu kwa simu. Yaani anaongea kibabe babe tu mpka demu akakataa MOfaya na kutaka apewe MZINGA.
 
Braza naona umeshiba pilau la sikukuu
 
Ww Ni Jinsia Gani?
 
Aisee mm nlijua alikiba wakati anakutafuna aliikubaka kwa nguvu na sio kukupiga mikiss na kukuchezea (kama kweli ww dume na umeandika Uzi huu BAs utakuwa juma likole)
 
Halafu wengi mnaonyesha kuwa hamjaelewa mantiki ya ile scene inayo muonyesha kiba akiongea na yule manzi kisha yule manzi aka kataa mo faya na kuagiza mzinga ...

Chukua hii ---- nyimbo inaitwa kadogo kana penda kerolo .. so ulitaka mwanamke aagize energe drink wakati maaudhui ya nyimbo yana mtaja kuwa kadogo ni binti anaye penda ulabu (kunywa pombe )

Kerolo(pombe) wakenya wengi wanapenda kuiita pombe kwa jina hilo la kerolo... kama hamjuagi maana muwe mnauliza kuliko kuongea ongea tu msivyo vijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…