Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
Hivi Ali Kiba alipewa na nani hadhi ya ufalme ?
et Al K [emoji23][emoji23] iyo K ina vingi kwa mabahariaAslay kaua ila huyu ali k ndo kazingua
Umeongea fact yule ameshazeeka 40 years sio mchezo.Kuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba
Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana
Super star mkubwa kaimba kama under ground
Bora tu hata angesimama mayunga au mario
Na clouds na wakaanzishaga kiba day ili wamshushe The king himself Diamond.Hivi Ali Kiba alipewa na nani hadhi ya ufalme ?