ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
WEWE WASEMAA,BUT KIBA DESERVES ITDiamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima.
Vipengele hivyo ni pamoja na Songwriter of The Year in Africa, Song of The Year in Africa, Artiste of The Year, Best Artist in Africa na Best Male Artist in Eastern Africa.
Alikiba ametajwa kuwania kipengele kimoja cha Best Male Artist in Eastern Africa huku kundi la Yamoto Band likitajwa kuwania kipengele cha Revelation of The Year.
Hata hivyo mwaka huu kuna upungufu mkubwa wa wasanii wa Tanzania kwenye tuzo hizo. Tuzo hizo zitatolewa November 6 jijini Lagos Nigeria.
Wakuu Hiv Hii imekaaje? Hiv nigeria sisi wapenzi wa mziki wa ali wanatuchukuliaje?
wakati mondi katoa utanipenda sisi tukatoa chekecha cheketua,inakuwaje eti leo hii hawaja iyona ile wanakuja kuiona hii aje ya mwaka huu?
Kwanini na yeye wasingemuwekea hii KIDOGO ya mwaka huu?
Kuna mazingira gani wanamuandalia diamond?
Yamoto 1 king 1,kwahiyo hii sisi ndio levo yetu?....
Hahhah hivi bado kuna watu wanawafananisha hawa wasanii hahaha
Mkuu Nadhani moja ya kosa kubwa analolijutia Ally ni lile lakuwa kimya kwa miaka kama mi3 hvHivi ali kiba alipenda mwenyewe kurudi kwenye muziki au alilazimishwa?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu anaefanya kazi anayoipenda sana na yule anaefanya kwa force ya wazazi au watu fulani..
Aliyeweka neno 'retire' alikuwa na akili sana. Creativity ends with age and time sometimes
Diamond anacopy mziki wa huko Nigeria ndo mana anakubalika Sana hukowakati mondi anatoa nyimbo ambazo mnasema hamuzielewi
wanaijeria wanazielewa
hadi mbuzi wa kutaga wanamjua
Si ndo hapo sasa, hawa ndo huwa wanachochea ugomvi au kutokuwa na maelewano baina ya wasaniiEti sisi tumetoa cheketua, nyinyi kina nani? Unaongea kama ulikuwepo studio vile wakati anarekodi.
Hivi kwann wabongo mnapenda kuwagawa wasanii , hamuoni nyie ndo mnachochea ugomvi Kati yao, mbona huko Nigeria hawana hizo mambo ila wabongo unafik mwingi ndo mana hatuendeleiTatizo huwa mnahisi nyimbo inavyopokelewa bongo ni sawa na nchi zote za africa
Nyimbo zako zinaweza zikawa zinapigwa trace, mtv na sound city lakini usitoboe nigeria,
Wanaigeria wana kasumba sana ni diamond alipata bahati kukubalika huko.
Nenda hata youtube kasome comments kwenye nyimbo utaona kwa diamond kuna watu wengi wa mataifa mbalimali na kwa alikiba utaona karibia wote ni wabongo na wakenya
Hii ndio SABABU..!?Diamond anacopy mziki wa huko Nigeria ndo mana anakubalika Sana huko
Mmoja kati ya WANAFIKI ni WEWE mwenyewe..!!!Hivi kwann wabongo mnapenda kuwagawa wasanii , hamuoni nyie ndo mnachochea ugomvi Kati yao, mbona huko Nigeria hawana hizo mambo ila wabongo unafik mwingi ndo mana hatuendelei
Angalia hizo categories vizuri weweteh.. kazi kweli kweli.. ila mashabiki wa kiba tumekuelewa