Alikiba wa Mac Muga alikuwa level nyingine!

Alikiba wa Mac Muga alikuwa level nyingine!

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Huyu wa sasa,anatengeneza muziki ambao kama ungekuwa mchele basi ungekuwa ule wa plastic wa china,ama Thailand...unamezeka kwa taabu!Jaribu kurudi nyuma utakuwa juu sana!nimeona Duly amerudi kafanya vyema sana,kila la heri,mimi ni fan wa bongofleva na si bongoniger
 
Back
Top Bottom