Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nitakuwepoUsijali miaka 70 ijayo wote tuliopo humu tutakuwa maiti,kama huyo aliyekufa kwa ngoma
Inafikirisha sana mistari hii."Kama alifunga kufuli katikati ya nyeti zake"
"Utepe mwekundu mpaka kwenye nguo zake za ndani"
Huu wimbo una mistari ambayo inafikirisha sana. Napenda sifa za jamaa ila baadae FA anaulizia "kama alikufa kwa ngoma jiuliza alijali nini?
Mkuu naomba nisihusishwe kwèñye habari za ukimwi tafadhali 😅
Loco ContigoMkuu naomba nisihusishwe kwèñye habari za ukimwi tafadhali 😅
Hakuonekana na binti hakuwahi kuiasi dini."Kama alifunga kufuli katikati ya nyeti zake"
"Utepe mwekundu mpaka kwenye nguo zake za ndani"
Huu wimbo una mistari ambayo inafikirisha sana. Napenda sifa za jamaa ila baadae FA anaulizia "kama alikufa kwa ngoma jiuliza alijali nini?
Wanajiachia sana. Hawana hofu kabisa.Siku hizi nyimbo za namna hazipo
Vijana wanazagamuana balaa
Bora tulewe kuliko ufuska wa ngono mkuu😁vijana wa sasa wanadai eti sio mkali tena
jidanganyeni tuh
Astaghafirullah 😃 😀Bora tulewe kuliko ufuska wa ngono mkuu😁
walevi ndio wajinga kabisa wanakazi ya kuunganisha bao wakizani wanamkomoa kumbe ndio wanaukwaa kijinga kabisaBora tulewe kuliko ufuska wa ngono mkuu😁
NCDs tatizo sana. Na siku hizi cases zimekua sanaBora upate ngoma kuliko kuugua cancer na figo utaomba ufe.
Hao sio walevi ni wazinzi wanaojificha kwenye ulevi, walevi tunaiwekea mkono tu tunalala fofofo😆walevi ndio wajinga kabisa wanakazi ya kuunganisha bao wakizani wanamkomoa kumbe ndio wanaukwaa kijinga kabisa