Gadem........kwahiyo wanasaula viwalo kwa skreen afu wanajitia midole? Watakuwa wamezilamba sana screen zao! God forbid!
Hahahahahaha! Kwahiyo screen zinapata mimba ile mbaya........... Leo ndo nimejua kumbe hata screen zinafanya abortion>>>>>>Hamna, wanazinatisha mipododo kwenye screen.
Usilazimishe mapenzi pasipo na penzi! Njoo huku machungu yatapoa!
Hahahahahaha! Kwahiyo screen zinapata mimba ile mbaya........... Leo ndo nimejua kumbe hata screen zinafanya abortion>>>>>>
Labda hakuwa na mapenzi ya kweli, may be t was just a crush!!Ndo mapito ya mapenzi,mimi nlikua naskiaga story ila yalivonikuta nkajua kumbe kuumizwa is a must???sizani kama kuna mtu ambaye hajawahi kuumizwa kwenye maswala ya mapenzi.So uanhitaji mda tu utapata wako wa ukweli
Yule yupi?kwani wewe na yuleee uwaga mnafanya nini?
Yule yupi?
Natamani kukuelewa lakini nimeshindwa wallahkwani umesahau zile mechi za vumbi? huwaga mnafanya nini?
Natamani kukuelewa lakini nimeshindwa wallah
BTW karibu tule kiepe n mayai ya kuku wasokuwa na babaNatamani kukuelewa lakini nimeshindwa wallah
Ahsante!akili bado nyembemba............ngoja inenepe kwanza.
Usimwone mbaya, yeye alikugundua kuwa ulikuwa na tatizo la kisaiklojia na ili uweze kufanikisha masomo yako ulitakiwa kupewa tiba hiyo aliyokupatia lakin hakuwa na mpango wa mapenzi wala hakuwa na tamaa na wewe. Vinginevyo angeli kupapatikia uliporudi ili umpatie uroda kisha akumwage!.kama binti niliejitoa katika himaya ya mapenzi baada ya kuumizwa vibaya na first love kisha kuoa imeaditely baada ya breaking up with me, niliapa kuwa sitopenda tena!! nilibainisha msimamo wangu kwa muda wa miaka miwili kukaa bila mtu, ingawa nilikumbana na vikwazo vingi, vishawishi na tamaa but nilimuomba Mungu na niliweza kuikimu nafsi na moyo wangu kwa mda huo!!
kwa bahati nilimaliza chuo vyema na nikabahatika kupata nafasi ya masomo ya juu nje ya nchi!! wakati nashughulikia swala langu hilo nilikutana na kijana mmoja, mpole na mkarimu sana na kwa kuwa yeye alikuwa mzoefu wa safari hizo aliweza kunijuza mengi na kunisaidia hatua kwa hatua hadi safari yangu ilipokamilika, nikiwa airport kuagana na baba na mama na mdogo wangu, aliweza kunisaidia each step mpaka kuniaga nikiwa on board( he had access on the flight) wakati namuaga i felt so emotional na nilijua i felt kitu cha tofauti kwa mda ule! nikiwa nje tulianza mawasiliano ya ukaribu zaidi! skype,online chats, zote zilituwezesha kutufanya kama tuko pamoja mda wote!! kiukweli nilimpenda sana na ilinibidi nivunje msimamo wangu nakuanzisha the distance love!!!
Nisiwachoshe wana jf nina miezi miwili tangu nimerudi toka safari yangu ya masomo, kwa bahati nikapata kazi karibu na ofisi ya huyu kaka,,CHAKUSHANGAZA ni kwamba huyu kijana HATAKI MAWASILIANO NA MIMI SINCE NIMERUDI NIKIULIZA KWANINI ANASEMA YEYE ANA MTU WAKE AND THAT WAS ONLY A DISTANCE LOVE!!! NOW THAT AM HERE HE NO LONGER NEED ME PHYSICAL!! NILISTAAJABIKA KWA SABABU NASHINDWA KUJUA ALIMAANISHA NINI KUANZISHA UHUSINANO ULE?:disapointed:
ha haaaaaaaaa, Kongosho sasa hapo kwenye RED umetuingiza chaka, fafanua tafadhaliUna bahati sana, kuna shoga angu alipata ujauzito wa skype na jamaa likakimbia.
Siku ingine kumbuka kutumia kinga hata VVU vinapita
Kiukweli huyo mtu anakuheshimu sana, alikuwa anaflirt tu
Hakuwa na la maana zaidi ya chit chat za mapenzi.
Je angegonga mzigo, si ungepagawa???