Ndondombi Mulin
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 413
- 1,868
Mkuu, inaonekana MALAYA anakuumiza kichwa hadi unahitaji ushauri.Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akionba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana
Naweza kukuelekeza Mkuu.hapa kuna nini, elezea hapa kwa faida ya wengine kama mimi
Mkuu sirudi nyuma msimamo wangu ni ule uleshikiria apo apo usimruhusu arudi uko alitoka kakimbia nin had arudi kwako ashaona uko aliko kua wamemchoka anakuja kupumzikia kwako wew sio sehemu ya kupokea watu waliojichokea uyo ukimruhusu siku atakuchape afu alale Mbele Tena Urudi apa unalia Tena kam mwanzo aliona viazi ni chakula kichungu inakuaje leo anaza kuona Viazi ni chakula kitamu akili kichwani mwako
emu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka tafadhali
Akikujibu unitag pls linanihusu sana hili😀emu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka tafadhali
Mama anaingiaje hapo??Shukrani za dhati ziende kwa mama kwa kutufikisha hapa
eti twende pmAkikujibu unitag pls linanihusu sana hili😀
😂Niamini mimi. Kodi yake ya nyumba inaisha tarehe 30 April. Fuatilia mkuu utakuja kunishkuru
Alikuchana ukweli. Wewe ulitumia nguvu ya pesa tu lakini ulikuwa hupendwi.sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye
Kachacha, hana vocha.Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Jamaa bado anampenda ndio maana ameleta huku tumshauri.....hata umwambie nini atarudi tu kwa demu huyo.shikiria apo apo usimruhusu arudi uko alitoka kakimbia nin had arudi kwako ashaona uko aliko kua wamemchoka anakuja kupumzikia kwako wew sio sehemu ya kupokea watu waliojichokea uyo ukimruhusu siku atakuchape afu alale Mbele Tena Urudi apa unalia Tena kam mwanzo aliona viazi ni chakula kichungu inakuaje leo anaza kuona Viazi ni chakula kitamu akili kichwani mwako