The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Kwa hiyo tusome tusinge mbele tujikalie kimya?Jf watu mnajikuta wajuaji sana, sijaona sehemu mtoa mada akiomba ushauri.
Yeye kasimulia kisa mpate kujua watu mnacomment "oooh we bado unampenda hadi kumfungulia uzi" tutakuwa tunashindwa sasa
Bado huja move on, unajilazimisha tu kuamini hivyo.Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
ππππUme kosea Sana, kijana Vincenzo Jr ana sema mnunulie data ya kiturukiπ€£
Kumbe ndivyo ulivyo?Enzi zangu huyo namfanya tambala la deki, ni kugegeda tu, kiburudisho kimejileta chenyewe.
Jaribu kuingia upande wa call settings then tafuta setting inayohusiana na mambo ya spam&block au blacklist.hapa kuna nini, elezea hapa kwa faida ya wengine kama mimi
Kama hakutokuwa na hizo settings kwa simu yako, ingia Google chrome, search APK MOD. COM, then ukishaingia upande wa hiyo blog, search application inayoitwa Caller id.hapa kuna nini, elezea hapa kwa faida ya wengine kama mimi
Facebook ina watumiaji billion tatu kwa mwezi yan robo ya dunia kwa mwez wanatumia fb, na ndio social media platform kubwa kuliko zote dunianiMbona ndio mtandao mkubwa kuliko jf maana public figure wote duniani wapo huko,we wa wapi?
Hii inaitwa theLove begin after break upπ§βπ¦―π§βπ¦―π§βπ¦―π§βπ¦―Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Ndio NILIVYOKUWA. Zamani huko.Kumbe ndivyo ulivyo?
Huyo kinachomrudisha sio mapenzi ni njaa tu.
Sijajua kama umeokoka lakini hao watu huwa tunawapokea (suiongee chochote msikilize na ujifanye boya ila uskiweke mjadala kakaenda kakarudi), unamfanya mtumwa wa ngono, no money kila akiomba mwambie huna, akikilalamika kidogo unakata mawasiliano wiki nzima.Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Atakuwa anatumia simu yenye spam filter, hii ipo standard kwenye simu za google pixel unaweza kuset namba ngeni simu haiiti, ila akipiga zaidi ya mara moja inakupa notification kukuuliza kama ina umuhimu hiyo namba, ukikataa ndio haitaita milele.emu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka tafadhali
We jamaa acha ukatili wa kingonoππSijajua kama umeokoka lakini hao watu huwa tunawapokea (suiongee chochote msikilize na ujifanye boya ila uskiweke mjadala kakaenda kakarudi), unamfanya mtumwa wa ngono, no money kila akiomba mwambie huna, akikilalamika kidogo unakata mawasiliano wiki nzima.
Acahana nae mshamba amekalilishwa maneno.Mbona ndio mtandao mkubwa kuliko jf maana public figure wote duniani wapo huko,we wa wapi?
Hata Xiami Redmi Pro Note 11Atakuwa anatumia simu yenye spam filter, hii ipo standard kwenye simu za google pixel unaweza kuset namba ngeni simu haiiti, ila akipiga zaidi ya mara moja inakupa notification kukuuliza kama ina umuhimu hiyo namba, ukikataa ndio haitaita milele.