The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
- Thread starter
-
- #81
Mkuu anapiga saana Simu yaani mpaka inakua kero anachkua namba za marafiki zake ananipigi Kila siku unakuta namba mpya 4 ni yeye so ikabidi tuu nifanye hivo Mimi simtakiKwanza nimpongeze mama kwa kuona uzi huu.
Hivi una block namba mpya zote kisa mapenzi. Huna dharura yoyote au ishu nyingine zitazokuja kwa namba mpya? Kijana acha kuendeshwa na mapenzi. Toa block msikilize toa msimamo wako.
Kama unampenda chakata mbususu hiyo
Kwahiyo sasa hapa unataka ushauri au unatupa taarifa ya yaliyojiriWakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Nawapa Taarifa tuu Mimi simhitajiKwahiyo sasa hapa unataka ushauri au unatupa taarifa ya yaliyojiri
Pokea na mchane. atazoea jibu na ata move on.Mkuu anapiga saana Simu yaani mpaka inakua kero anachkua namba za marafiki zake ananipigi Kila siku unakuta namba mpya 4 ni yeye so ikabidi tuu nifanye hivo Mimi simtaki
Sio kweli simhitaji mimiUna viashiria vyote vya kurudiana nae
Hisia zimerudi !! sasa unashangaa niniWakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Mpelekee lungu la jela achana naye mkuu uyooWakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Mwambie sasa kwamba haumtakiNawapa Taarifa tuu Mimi simhitaji
Mpelekee motooo uyoo mkuu achan naeeWakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina bwana angu nampenda"
"Siku uliyonitongoza sio kwamba nilikua Sina mtu na mpaka Sasa hivi Niko naye".
Basi bana ikabidi niwe mpole nikakubali yaishe.. nika mblock na yeye akani block kuanzia kwenye namba mpka social network zote.
Kisa Cha kuleta huu Uzi
Nikashangaa ananitumia upya friend request fb akaanza Tena ku ni follow nikakausha. Akaanza kunipigia kwa namba mpya nyingi sana wakuu akiomba msamaha kuwa alikosea na ananipenda sana miezi miwili imeisha ila amenipigisa saana simu na namba mpya mpaka now simu yangu nimezuia namba mpya ikinipigia hainipati.
Amekuwa kinganganizi na wakatii Mimi tayari Sha move on..
Means wakishaongea akijua ni yeye anaweka kitofaliemu nielekeze namna ya kuzuia namba mpya kukupigia haraka tafadhali
🤓Jf watu mnajikuta wajuaji sana, sijaona sehemu mtoa mada akiomba ushauri.
Yeye kasimulia kisa mpate kujua watu mnacomment "oooh we bado unampenda hadi kumfungulia uzi" tutakuwa tunashindwa sasa
Sijaomba ushauri sehemuSasa Kama umeshamove on unataka tukushauri Nini?
Mitano tenaShukrani za dhati ziende kwa mama kwa kutufikisha hapa
NAKAZIAMapenzi hayashauriwi. We amua unavyoona.
Huwezi kuelewa Mkuu. Kwani mawaziri wakimshukuru mama huwa unawaelewa ?Mama anaingiaje hapo??
Itakuwa alkuwa anamchungulia then anablock tena😂, ukipenda ni kazi sana ishara ya kuwa bado alikuwa anampendaUlimblock halafu na yeye akakublock. Sasa ulijuaje kuwa amekublock everywhere na ulishamblock?