Aliniambukiza gono, leo anataka turudiane

Aliniambukiza gono, leo anataka turudiane

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Kwema jamani?

Kuna mwanamke nilikua na mahusiano nae miaka 7 iliyopita. Mimi kwa wakati huo sikuwa na mwanamke mwingine zaidi yake, so it happened akaniambukiza gono,nilivyomuambia,aliniogesha na mvua ya matusi kiasi kwamba nikaamua kumuacha tu asepe na maisha yake.

So tukapotezeana kuanzia pale na yeye akaniblock kwa simu.ila baada ya muda kupita this week nimeona kanitafuta kwa number ngeni na ananiomba eti turudiane.
Wakuu,mtu kama huyu anafaa hata kumfikiria kweli?
 
Hivi Hamna kipimo Cha gono kabla ya kufanya mapenzi?

Au mnapimaga ukimwi TU[emoji848]
 
Mkuu ngoja nikuongezee hasira tafuta hela mfanye chombo cha starehe
 
Iko hivi mwanamke anaweza kuwa na magonjwa ya zinaa kwanzia leo lkn asioneshe dalili hata moja mpaka hata mwaka mzima lkn mwanaume within 3 days tayari kila kitu hadharani

Hivyo kama unampenda mtibu au achana naye
 
Wewe mwenyewe unahisi anastahili kufikiriwa?!!..if yes fuata Moyo wako na Kama Ni no ishukuru akili yako..
 
Kwema jamani?
Kuna mwanamke nilikua na mahusiano nae miaka 7 iliyopita.mimi kwa wakati huo sikuwa na mwanamke mwingine zaidi yake, so it happened akaniambukiza gono,nilivyomuambia,aliniogesha na mvua ya matusi kiasi kwamba nikaamua kumuacha tu asepe na maisha yake. So tukapotezeana kuanzia pale na yeye akaniblock kwa simu.ila baada ya muda kupita this week nimeona kanitafuta kwa number ngeni na ananiomba eti turudiane.
Wakuu,mtu kama huyu anafaa hata kumfikiria kweli?
Huyo anakufaa pga tena..si unajua gono haitaji mchubuko ukigusa tu imoo
 
Wakuu,mtu kama huyu anafaa hata kumfikiria kweli?
Ndio anafaa, miaka 7 bado ana gono tu.

Sasa akija anakupatia Ukimwi kabisa ukome.

Mwanaume unashindwa kufanya maamuzi jambo dogo la wazi hivo
 
Kwema jamani?
Kuna mwanamke nilikua na mahusiano nae miaka 7 iliyopita.mimi kwa wakati huo sikuwa na mwanamke mwingine zaidi yake, so it happened akaniambukiza gono,nilivyomuambia,aliniogesha na mvua ya matusi kiasi kwamba nikaamua kumuacha tu asepe na maisha yake. So tukapotezeana kuanzia pale na yeye akaniblock kwa simu.ila baada ya muda kupita this week nimeona kanitafuta kwa number ngeni na ananiomba eti turudiane.
Wakuu,mtu kama huyu anafaa hata kumfikiria kweli?

Chai yako inatuambia uliambukizwa gono miaka 7 iliyopita...

Baada ya miaka 7 kupita, umepigiwa simu ya kuomba kurudiana, na wewe bado unaamini baada ya miaka 7 huyo mwanamke ana gono...

😂😂
 
Iko hivi mwanamke anaweza kuwa na magonjwa ya zinaa kwanzia leo lkn asioneshe dalili hata moja mpaka hata mwaka mzima lkn mwanaume within 3 days tayari kila kitu hadharani

Hivyo kama unampenda mtibu au achana naye
na mwanamke akiwa nayo huwa inamuwasha akikosa paipu atazamisha hata mjiti ili ajikune huko ndani.
 
Back
Top Bottom